Beira Boy
JF-Expert Member
- Aug 7, 2016
- 17,895
- 25,944
Amani iwe nanyi wakuu.
Hivi ndio kwa mfano huyu mwamba anayekwenda kwa jina la Max angekuwa msanii angechana au angebana pua?
Muziki wa mduara angeuweza kweli huyu mwana maana ana sura ya upole sana aisee.!
Dah! Bora tu abaki tu huku kwenye internet
Masuala ya hip-hop kufoka foka asingeweza kabisa
LONDON BOY
Hivi ndio kwa mfano huyu mwamba anayekwenda kwa jina la Max angekuwa msanii angechana au angebana pua?
Muziki wa mduara angeuweza kweli huyu mwana maana ana sura ya upole sana aisee.!
Dah! Bora tu abaki tu huku kwenye internet
Masuala ya hip-hop kufoka foka asingeweza kabisa
LONDON BOY