Hivi Maxence Melo angekuwa msanii angekuwa mbana pua au angekuwa anachana?

Beira Boy

JF-Expert Member
Aug 7, 2016
17,895
25,944
Amani iwe nanyi wakuu.

Hivi ndio kwa mfano huyu mwamba anayekwenda kwa jina la Max angekuwa msanii angechana au angebana pua?

Muziki wa mduara angeuweza kweli huyu mwana maana ana sura ya upole sana aisee.!

Dah! Bora tu abaki tu huku kwenye internet

Masuala ya hip-hop kufoka foka asingeweza kabisa

LONDON BOY
Maxence2.500.Credit.Jamii.Forums.jpeg
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom