Admin1988
JF-Expert Member
- Mar 30, 2017
- 1,603
- 1,835
Habari zenu wakuu?
Samahani moods MSIUFUTE HUU UZI WALA KU BAN.
Mimi nime kuwa najiuliza, kwa Wananchi wa BUHIGWE (kama sija kosea)
Hivi karibuni Mheshimiwa Rais SAMIA SUHULU HASSAN amemteua DR. PHILPO ISDOR MPANGO Kuwa makamu wa Rais na Tulio wengi TUME SHANGILIA.
Ila kwa uzoefu wangu mdogo, makamo wa Rais hato ingia tena BUNGENI kama Mbunge, na hivyo WANANCHI WAKE KUKOSA MWAKILISHI KAMA MBUNGE,
Sasa je, Hapo Sheria au Katiba ina semaje kwa hili??
Kuta kuwa na Uchaguzi mdogo? Au itakuwaje hapo??
NAOMBA WAJUVI WA MAMBO MTU SAIDIE
Asante naomba kuwasilisha.
Samahani moods MSIUFUTE HUU UZI WALA KU BAN.
Mimi nime kuwa najiuliza, kwa Wananchi wa BUHIGWE (kama sija kosea)
Hivi karibuni Mheshimiwa Rais SAMIA SUHULU HASSAN amemteua DR. PHILPO ISDOR MPANGO Kuwa makamu wa Rais na Tulio wengi TUME SHANGILIA.
Ila kwa uzoefu wangu mdogo, makamo wa Rais hato ingia tena BUNGENI kama Mbunge, na hivyo WANANCHI WAKE KUKOSA MWAKILISHI KAMA MBUNGE,
Sasa je, Hapo Sheria au Katiba ina semaje kwa hili??
Kuta kuwa na Uchaguzi mdogo? Au itakuwaje hapo??
NAOMBA WAJUVI WA MAMBO MTU SAIDIE
Asante naomba kuwasilisha.