mtoto wa mchungaji
JF-Expert Member
- Oct 24, 2020
- 279
- 480
Taarifa nilizo zipata ambazo ni za ukweli na kuaminika ni kuwa huko Ulaya makanisa yanafungwa kila kuitwapo leo, wazungu wanaacha kwenda kanisani kwa kasi ya ajabu kuwai kutokea, watafiti wanasema kuwa baada ya miaka5 mpaka 10 ulaya inaweza ikawa na makanisa machache sana au kupotea kabisa.
Swali, sisi Waafrika tuliwafuata wazungu kwa kutuletea dini sasa leo wanaacha je sisi afrika tutaendelea nayo? Na je kama wataleta kitu/imani nyingine je tutaingia tena huko? Au sisi tutabaki na ukristu walio tuletea?
Na tutawezaje leo kuto kupokea kama wakija na imani nyingine tofauti na ukristu wakati sisi waafriaka kuanzia kuonge kama wazungu, kula, kuvaa, kuoa, kuzika na vingi tunafuata huko.
Mimi mtoto wamchungaji sielewi.
Swali, sisi Waafrika tuliwafuata wazungu kwa kutuletea dini sasa leo wanaacha je sisi afrika tutaendelea nayo? Na je kama wataleta kitu/imani nyingine je tutaingia tena huko? Au sisi tutabaki na ukristu walio tuletea?
Na tutawezaje leo kuto kupokea kama wakija na imani nyingine tofauti na ukristu wakati sisi waafriaka kuanzia kuonge kama wazungu, kula, kuvaa, kuoa, kuzika na vingi tunafuata huko.
Mimi mtoto wamchungaji sielewi.