Kikarara78
JF-Expert Member
- Nov 18, 2010
- 1,495
- 901
Wana JF,
Heshima Mbele,
Nina hili Swali ambalo linanitatiza, naomba mnijuze,
Nimejaribu kufuatilia Siasa zetu na Wanasiasa wetu Tanzania sijapata jibu,
Hivi kuwa Mwanasiasa Tanzania, ni lazima uwe Kiongozi ???
Kwa nini sasa Wanasiasa wetu wengi wanagombea Uongozi ??
Heshima Mbele,
Nina hili Swali ambalo linanitatiza, naomba mnijuze,
Nimejaribu kufuatilia Siasa zetu na Wanasiasa wetu Tanzania sijapata jibu,
Hivi kuwa Mwanasiasa Tanzania, ni lazima uwe Kiongozi ???
Kwa nini sasa Wanasiasa wetu wengi wanagombea Uongozi ??