whiteskunk
JF-Expert Member
- Jul 24, 2021
- 3,758
- 8,899
Anachomaanisha ni approach polisi wanayoitumia.Acha kukaa maeneo ya wahalifu mkuu
Anachomaanisha ni approach polisi wanayoitumia.Acha kukaa maeneo ya wahalifu mkuu
Binadamu wanaokula dhuluma.Hiyo siyo issue hata raia wa kawaida hulambana risasi
Polisi nao ni binadamu km wewe tu
Polisi hawezi kumu approach suspect kwa kumbembelezaAnachomaanisha ni approach polisi wanayoitumia.
Division ziro ziko wazi si za kutafutaWewe ndiyo una akili km hizo lkn kwa taarifa yako ulichosema hapa ni uongo kabisa
Njaa na dhuluma vimewajaa, mnatumia nguvu badala ya akili.Polisi hawezi kumu approach suspect kwa kumbembeleza
Ukiwakuta wananingia kwenye zile gari zao basi wajiona kama wao wameyamaliza maisha. Ila wakiaanza kulilia hela ya supu kama sio wao.
Wanavyo kimbiaga kwa fujo barabarani natamanigi hata wamwagike na msaada sitoi!!!View attachment 2039016
Sawa...... Inakinzana na RAIA wema... Ila kaa ukijua kila kazi inamwisho pamoja na yako hiyo ya upolisi, na utalea hesabu kilatendo ulilo tendaHawajasahau ila kazi ya polisi inakinzana na mambo yako lbd ndo maana unasema hivyo
Hawajasahau ila kazi ya polisi inakinzana na mambo yako lbd ndo maana unasema hivyo
Hawajasahau ila kazi ya polisi inakinzana na mambo yako lbd ndo maana unasema hivyo
Hawajasahau ila kazi ya polisi inakinzana na mambo yako lbd ndo maana unasema hivyo
Ni kweli lakini asilimia kubwa ni wadhulumatiWapo wamejaa tele wanaendelea na maisha yao. Wataenda wapi km siyo mtaani baada ya kustaafu
Na wengine wengi bado wapo kazini na unaishi nao hapo mtaani kwako
Si kila polisi ni dhulumati.
Huenda Ishi swekenini maisha dhalili Kama hawakuwa na jobu awaliHivi hawa watu wakistaafu huwa wanaenda wapi.
Maana kitaa hatuonani.
Au huwa wanahama mitaa.
Bro; Ni vizuri umewakumbusha na kwa mantiki hiyo "Umenawa" mikono cf. Ponsyo Pilato.Habari RAIA wema wa Tanzania, nimekaa nalo sana moyoni, lakini kila kukicha mambo yanazidi kuwa mabaya kutokana na matendo mabaya ya askari polisi.
Siku Mona nilikuwa nimesimama dukani nanunua vocha ghafla defender ya polisi ikaja ikawa inabeba watu hovyo. Kufika kwangu nikagoma nikauliza nimefanyaje? Polisi afu vijana hawaelewi wamekazana kusema kamata Hugo bebaa! Tukabishana sana ndio akaja polisi mwengine MTU mzima kidogo akaniangalia huku kashika bunduki akasema mwacheni dogo. Ikawa pona yangu. Na kipindi hicho nilikuwa mkoa mflani nasoma chuo
Baada ya kumaliza, Mungu mwema nilipata kazi katika taasisi Fulani ya Serikali mkoa fulani, kwakuwa kuna wakati nakuwa mtaani najamii katika kutekeleza majukumu ya kazi. Siku moja nilokuwa mtaani natekeleza majukumu yangu.. Sasa baada ya kumaliza nikawa naelekea kwenye gari ilipo paki niondoke.
Nimesimama nashangaa polisi wamevamia wamewashika vijana nilikuwa nao tumesimama nashangaa wakanifuata na Mimi na begi langu eti wananiambia pigs chini, nawauliza nimefanyaje jibu lao tulia wewe mwizi. Nikasema dash! Nikaangilia chini nikanyanyua macho nikawaangaliwa, mmoja kakazana shati.
Mwingine akana ninvyo waangalia akaona aibu akasimama mbali. Nikaona niwatolee kitambulisho walivyokiona wakanitoa haraka pembeni wakiambia nenda. Nikauliza hamjaona kama mmenidhalilisha? Hakujibu.. Nikasema sawa ila dunia itawafundisha na Mungu yupo.. Nikaondoka..
Haya ni baadhi tu ya madhirs yalonikuta
Naongea kwenu askari polisi mtatoa hesabu ya matendo yenu siku ya mwisho (nasema kwa imani yangu na ninauhakika na hilo)
Pia ninyi mmetoka kwenye jamiii pia mtarudi kwenye jamii maana hakuna kazi ya kudumi.
Pia dhulma mnayo Fanya laima mtailipa kwa namna yeyote ile maana ndiyo kanumi ya Kimungu na haijawahi kukosea na haitotokea...