Hivi kutongoza ni kosa?

St. Paka Mweusi

JF-Expert Member
Sep 3, 2010
7,632
4,512
Wana JF nimekuwa nikijiuliza siku nyingi swali hili na sipati jibu sahihi.Utakuta umempenda mtu unaona ni heri umueleze kilicho moyoni mwako tena kwa upendo na upole tu,lakini matokeo yake majibu utakayokutana nayo inakuwa kama vile ni adhabu,utaambiwa huna adabu,kamtongoze mama yako,utapewa misonyo,pengine hata kichapo toka kwa watu,wengine waliwahi hata kusakiziwa mbwa,na mbaya zaidi unawezakuta mtu hakutaki lakini anaamua tu kukukomesha kwa kukupa shida zake zoote na wewe kwa kuwa umependa basi utamtimizia na bado unaambulia patupu.Mengine tunayokutana nayo wakuu mnaweza kuongezea lakini swali langu ni hilo,je kutongoza ni kosa mpaka wanaume tustahili adhabu zote hizi?
 
Hiyo ni kama pale mtaa wa kongo saa ya kununua kiatu. Ukifukuzwa maana yake thamani yake kubwa, hiy siyo kwamba ondoka. Mara nyingi wanataka kuonyesha kwamba wao hawapatikani kirahisi. Mwanamke anayekukataa kwa ukweli hana sababu ya kuwa na hasira na wewe. Atakwambia vizuri tu au ataweka mazingira ambayo mtongozaji mwenyewe ataona game iko tight.
 
Hiyo ni kama pale mtaa wa kongo saa ya kununua kiatu. Ukifukuzwa maana yake thamani yake kubwa, hiy siyo kwamba ondoka. Mara nyingi wanataka kuonyesha kwamba wao hawapatikani kirahisi. Mwanamke anayekukataa kwa ukweli hana sababu ya kuwa na hasira na wewe. Atakwambia vizuri tu au ataweka mazingira ambayo mtongozaji mwenyewe ataona game iko tight.


Hapo na mimi ndio najiuliza inakuwaje inafikia mpaka hatua ya mwanamke kujikusanya na wapambe wake kukupiga mawe ilhali wewe unatongoza tu?
 
Hapo na mimi ndio najiuliza inakuwaje inafikia mpaka hatua ya mwanamke kujikusanya na wapambe wake kukupiga mawe ilhali wewe unatongoza tu?
Kweli hii kali, hadi hatua ya kupigwa mawe lol! Mi nshasakiziwa mbbwa tu ila mawe hiyo ni next level
 
Kadiri ukali unavyokua mkubwa, ndivyo atakavyokubali haraka.
 
Wana JF nimekuwa nikijiuliza siku nyingi swali hili na sipati jibu sahihi.Utakuta umempenda mtu unaona ni heri umueleze kilicho moyoni mwako tena kwa upendo na upole tu,lakini matokeo yake majibu utakayokutana nayo inakuwa kama vile ni adhabu,utaambiwa huna adabu,kamtongoze mama yako,utapewa misonyo,pengine hata kichapo toka kwa watu,wengine waliwahi hata kusakiziwa mbwa,na mbaya zaidi unawezakuta mtu hakutaki lakini anaamua tu kukukomesha kwa kukupa shida zake zoote na wewe kwa kuwa umependa basi utamtimizia na bado unaambulia patupu.Mengine tunayokutana nayo wakuu mnaweza kuongezea lakini swali langu ni hilo,je kutongoza ni kosa mpaka wanaume tustahili adhabu zote hizi?

Blaza tatizo kubwa ni timimg.
Kila kitu duniani ni timing tu.

ukisoma alama za nyakati unaweza mpata yeyote umtakaye.

Uhandsome pekee si hoja Shule mmmh!
Pesa, nayo wakati fulani haioni ndani.

Timing ndo kila kitu blaza.

ukitongoza onyesha kwamba umezimika, siyo kwa masafa mafupi bali ya kati.

Eti maneno mawili matatu mara unaonyesha nia na dhamira ya kula uroda.

Wakati mwingine mimacho yako au hata posing yako inaonyesha jinsi unavyotamani.

Mademu wengi cha kwanza wakipendacho ni mahusiano, ni urafiki siyo majambos.

Majambozos ni matokeo tu.

Mimi pamoja na shati langu la kutoboka mabega, enzi zangu nisha wahi tembelea mijiwanja ya nguvu bila nini wala ni.

Blaza timing blaza.

Usisukumwe na hamu ya kutaka uroda, ujenzi wa hoja na mfuatano wa mambo ndiyo jambo la kujenga msukumo.

Usilazimishe mambo hata siku moja.

Ukiwa huku majuu pochi ndo inatongoza.

Huku hapendwi mtu kwanja lake wala sura,inapendwa pochi tu.
 
Hutongozi tu kila mtu bara barani soma kwanza alama za nyakati. Mpe muda naye wa kukufahamu sio wewe kwa kuwa umemuona na unajua nyendo zake basi ukadhani naye anakujua. Hata ingekuwa wewe utamkubalia mtu ambaye hujawahi muona?
 
Kwa taarifa yako
Mwanamke akikaa wiki hajatongozwa hujiona hajakamilika
Kumbuka pia
Hata chui/simba jike huzaa
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom