Hivi kutolewa bikra mpaka damu itoke?

Principle girl

JF-Expert Member
Jul 31, 2014
1,107
1,091
Asalaam waungwana
Kuna kitu kinanitatiza hapa kuhusu bikra wengi wanasema kama hujawhi kufanya mapenzi ndo bikra na siku ya kwanza kufanya hivyo lazima upate maumivu pia damu lazima itoke asa kama damu ijatoka na hujapata maumivu zaidi tu umejisikia hovyo mwili kuchoka na hamu ya chakula kama homa hivi huna halafu ndo siku ya kwanza hujawahi fanya hilo tendo kabla inakuaje hapo?
 
Asalaam waungwana
Kuna kitu kinanitatiza hapa kuhusu bikra wengi wanasema kama hujawhi kufanya mapenzi ndo bikra na siku ya kwanza kufanya hivyo lazima upate maumivu pia damu lazima itoke asa kama damu ijatoka na hujapata maumivu zaidi tu umejisikia hovyo mwili kuchoka na hamu ya chakula kama homa hivi huna halafu ndo siku ya kwanza hujawahi fanya hilo tendo kabla inakuaje hapo?


hiyo itakuwa ya kichina
 
Asalaam waungwana
Kuna kitu kinanitatiza hapa kuhusu bikra wengi wanasema kama hujawhi kufanya mapenzi ndo bikra na siku ya kwanza kufanya hivyo lazima upate maumivu pia damu lazima itoke asa kama damu ijatoka na hujapata maumivu zaidi tu umejisikia hovyo mwili kuchoka na hamu ya chakula kama homa hivi huna halafu ndo siku ya kwanza hujawahi fanya hilo tendo kabla inakuaje hapo?
Kwani bado unayo bikra Mkuu?
 
  • Thanks
Reactions: mcy
Asalaam waungwana
Kuna kitu kinanitatiza hapa kuhusu bikra wengi wanasema kama hujawhi kufanya mapenzi ndo bikra na siku ya kwanza kufanya hivyo lazima upate maumivu pia damu lazima itoke asa kama damu ijatoka na hujapata maumivu zaidi tu umejisikia hovyo mwili kuchoka na hamu ya chakula kama homa hivi huna halafu ndo siku ya kwanza hujawahi fanya hilo tendo kabla inakuaje hapo?
Bikra ilishatoka mda mrefu sana hiyo. Hiyo sio bikra kwa kifupi
 
Asalaam waungwana
Kuna kitu kinanitatiza hapa kuhusu bikra wengi wanasema kama hujawhi kufanya mapenzi ndo bikra na siku ya kwanza kufanya hivyo lazima upate maumivu pia damu lazima itoke asa kama damu ijatoka na hujapata maumivu zaidi tu umejisikia hovyo mwili kuchoka na hamu ya chakula kama homa hivi huna halafu ndo siku ya kwanza hujawahi fanya hilo tendo kabla inakuaje hapo?
Tupe uzoefu wako kwa mara ya kwanza kufanya uzinzi ilikuwaje?
 
Back
Top Bottom