Mapambano Yetu
JF-Expert Member
- Aug 14, 2012
- 1,121
- 2,064
Yawezekana wengine hawatanielewa, lakini swali langu hasa ni kwa wale wanaoandaa mabango hasa pale Mtu mkubwa anapokuwa ziarani au kwenye public.
Kuna mtu amekasirishwa na bango kule kigoma na baada ya kuongea kuwa hilo bango hata lisoma nimeona wanausalama wanamvaa huyo kijana na kuondoka naye. Haijaeleweka kapelekwa wapi maana hata huyo aliyekasirishwa alitoa kauli yenye utata kuwa "Wengine mnajitafutia matatizo"
Hapa ndo tulipofika watanzania, wanaochekelea chekeni lakini tunakoelekea sio kuzuri.
Kuna mtu amekasirishwa na bango kule kigoma na baada ya kuongea kuwa hilo bango hata lisoma nimeona wanausalama wanamvaa huyo kijana na kuondoka naye. Haijaeleweka kapelekwa wapi maana hata huyo aliyekasirishwa alitoa kauli yenye utata kuwa "Wengine mnajitafutia matatizo"
Hapa ndo tulipofika watanzania, wanaochekelea chekeni lakini tunakoelekea sio kuzuri.