umetisha mkuu..Jibu linaweza kuwa ni au....
umetisha mkuu..Jibu linaweza kuwa ni au....
Yeah sure but anajifanya stak natakaVeri simpo.. Anataka umle mzigo
Ukizifuta wenyewe wanakunazo zako uwaga awazifutagi sijui kwanin.Mkuu mtu alikukataa namba zake zinafanya nini kwa simu yako? Piga blok piga reject list piga sparm delete
mkuu ishawahi kukutokea?Mkuu mtu alikukataa namba zake zinafanya nini kwa simu yako? Piga blok piga reject list piga sparm delete
Dudu la yuyu?Anataka dudu
Mtoa mada nakushauri usimpe hela. Kwanza potezea kwa siku mbili tatu hiyo sms yake. Then baada ya hapo mjibu sms kwa kumsalimia tu. Akizidi kuomba hela mwambie hela siyo issue sana mi nina hamu na wewe siku nyingi na unajua wewe. Tafadhali tusahau yaliyopita twende sehemu tukajifungie tukaenjoy mzigo. Mwambie live bila kupepesa atajileta mwenyewe bila shaka, lakini akijifanya anazingua kaa kimyaaa usitie neno lolote kubishana naye! Akija, piga show kali ya mahaba sana na maongezi mengi ya mambo ya kimaendeleo. Baada ya hapo, mpe hela siyo nyingi (isizidi elfu 50 hata kama unazo hela nyingi). Baada ya hapo atakuwa mtumwa kwako. Unaamua lini umpe sh ngapi na lini ule mzigo. Wanaume wote tungekuwa tunatokea sehemu moja hawa viumbe wasingetusumbua. Sema kuna midume inawatetemekea ndo maana wanasumbua.Kama una Pesa Mpe, Kisha usiendelee Kumtongoza.. Kama akiomba tena na unazo mpe.. atakutongoza mwenyewe!
Kwani waheshimiwa wabunge hili hawajalitungia sheria