King Rabbit
JF-Expert Member
- Mar 29, 2015
- 736
- 2,673
Uzi nyingine hizi unaweza kujikuta uko Central na kina marwa.
Nimetafuta mkuu nimezunguka maduka yote lakini sijaambulia kituwatu wameshaongelea sana humu acha uvivu tafuta utaona
Hili suala huwa nawazaga mno Lina Siri Pana ...ila me nahisi Ni kweli Hawa watu walihusika na walistahili kuwa jela now..ila kwa sababu tulikuwa na raisi mpenda sifa mmbwa mwitu aliyevaa ngozi ya kondoo...Basi akawaachia...tusubirini kwenye hukumu kwa MUNGU atatuonyesha ukweli wa hili jambo
Sent from my TECNO F1 using JamiiForums mobile app
Wanaficha au hamna wanachokijuaNaomba kila MTU anaficha ficha tu
Je Mwalimu ambae akiwapeleka watoto kwa Babu Seya kwanini aliachiwa ikiwa naye alikuwa muhusika?Hili suala huwa nawazaga mno Lina Siri Pana ...ila me nahisi Ni kweli Hawa watu walihusika na walistahili kuwa jela now..ila kwa sababu tulikuwa na raisi mpenda sifa mmbwa mwitu aliyevaa ngozi ya kondoo...Basi akawaachia...tusubirini kwenye hukumu kwa MUNGU atatuonyesha ukweli wa hili jambo
Sent from my TECNO F1 using JamiiForums mobile app
Naona signal zimeongezeka kwenye kifaa changu embu ongezea nyama hapo mkuu.UKWELI NI KWAMBA WALE WALIKUWA WANACHUKUA SIRI ZA NCHI NA KUPELEKA WANAKOKUJUA WAO. KUMBUKA ILIKUWA KUANZIA MWAKA 2003
walipelekwa ulaya, na kwa mujibu wa members wa Humu JF hao mabinti na vijana wanakana kwamba hawakulawitiwaWatakuwa wameolewa na kuolewa sasa pengine hao waliowaoa wasijue ndio hao kina baba seya waliwafanya mbaya
Ni story tu.Ulaya wapelekwe wakafanye niniwalipelekwa ulaya, na kwa mujibu wa members wa Humu JF hao mabinti na vijana wanakana kwamba hawakulawitiwa
kwa mujibu wa jamaa alikutana nao huko wanasoma vyuoNi story tu.Ulaya wapelekwe wakafanye nini
Umegota!Kilingeni Ilisikika kuwa nguza alimkula salma ndio ikawa kasheshe ya kula lifetime jail..
haya nenda super market sasaNimetafuta mkuu nimezunguka maduka yote lakini sijaambulia kitu
Alimkula wakati ni festi ledi au?Kilingeni Ilisikika kuwa nguza alimkula salma ndio ikawa kasheshe ya kula lifetime jail..