Hivi kuna yeyote alikuwa na facts za kesi za kina Babu seya

!
Hili suala huwa nawazaga mno Lina Siri Pana ...ila me nahisi Ni kweli Hawa watu walihusika na walistahili kuwa jela now..ila kwa sababu tulikuwa na raisi mpenda sifa mmbwa mwitu aliyevaa ngozi ya kondoo...Basi akawaachia...tusubirini kwenye hukumu kwa MUNGU atatuonyesha ukweli wa hili jambo

Sent from my TECNO F1 using JamiiForums mobile app
 
Mkuu nikukumbushe tu kuwaachia huru babu seya ilikuwa ni ajenda ya upinzani wakiingia madarakani 2015....so waulizwe nao pia waliona nini hapo.
 
Hahahha umenikumbusha walivyokuwa wakiimba wimbo wa kuwaachia wale watu , mama mmoja hukumu ilipotoka alipiga kelele na kusema mungu nisamehe coz nililazimishwa kutoa ushaihidi kwa mtoto wangu, washtukiwa wao walisema hakimu wa kesi hii ni mungu pekee yake, cha ajabu baada ya miaka kadhaa baadhi ya watoto wa babu walitoka na wengine walibaki kwa kesi hiyo hiyo. dunia ina mengi sn hii, na unafiqi hautaisha abadani.
Mkuu nikukumbushe tu kuwaachia huru babu seya ilikuwa ni ajenda ya upinzani wakiingia madarakani 2015....so waulizwe nao pia waliona nini hapo.
 
Naona signal zimeongezeka kwenye kifaa changu embu ongezea nyama hapo mkuu.
Huyo Babu Seya ni mcongo man halisi na alikuja huku kipindi hiko kama mwanamuziki lkn pia kipindi hiko ndio kulikuwa na wimbi kubwa la kupandikizwa watu nchi mbalimbali ili kujua nini hasa ajenda zao. Yy alikuwa mmoja wapo wa hiyo ishu. Ukumbuke kuwa ilikuw katika utawala wa MKAPA ma sio KIKWETE. Kiutaratibu wa hapa kwetu kesi za uhaini mara nyingi husikii zaidi utaambiwa alibaka au amefanya ujambazi wa kutumia silaha. Alipokuja Kikwete yy alikuja na mfumo kidogo wa kibabe ukivujisha siri za serikali unakula risasi hata kama ni sokoni unapigwa hapohapo. Watu kama wawili (TISS) walipigwa risasi pale Airport kwa kutoa siri kadhaa kwa mashirika ya ujasusi huko majuu.
 
Huyo Babu Seya ni mcongo man halisi na alikuja huku kipindi hiko kama mwanamuziki lkn pia kipindi hiko ndio kulikuwa na wimbi kubwa la kupandikizwa watu nchi mbalimbali ili kujua nini hasa ajenda zao. Yy alikuwa mmoja wapo wa hiyo ishu. Ukumbuke kuwa ilikuw katika utawala wa MKAPA ma sio KIKWETE. Kiutaratibu wa hapa kwetu kesi za uhaini mara nyingi husikii zaidi utaambiwa alibaka au amefanya ujambazi wa kutumia silaha. Alipokuja Kikwete yy alikuja na mfumo kidogo wa kibabe ukivujisha siri za serikali unakula risasi hata kama ni sokoni unapigwa hapohapo. Watu kama wawili (TISS) walipigwa risasi pale Airport kwa kutoa siri kadhaa kwa mashirika ya ujasusi huko majuu.
Kwahiyo unataka kuniambia huyu mzee alikuwa anaufanya kazi DRC
 
Nimeikumbuka hii kesi baada ya kuisikia sauti ya hayati kwenye radio wakati anatangaza kuwaachia huru kina babu seya.

Nakumbuka kesi ile ilikuwa na utata wengine wakisema kina babu seya hawakufanya vile vitendo vya kuwalawiti watoto bali walikuwa framed na mtu fulani.Kilichokuwa kinaleta utata zaidi ni pale mwalimu ambaye wanasema alikuwa anawapeleka watoto kwa kina babu seya aliachiwa huru na mahakama.

Na je iwapo kama ni kweli kina babu seya walikuwa wanawalawiti watoto na wakapatikana na hatia na kupewa kifungo cha maisha inakuwaje hayati aliwaachia huru wabakaji?.
Kama ni kweli kina babu seya walikuwa framed kwa amri ya mtu fulani je inawezekana hayati analitambua hill ndio maana aliwaachia huru.

Je ule msuguano wa chinichini kati ya hayati na boss wake wa zamani inawezekana ndio sababu ya hayati kuwaachia huru akiwa anajua kabisa boss wake wa zamani ndio mhusika wa kuwa frame akina babu seya?

je kuna jambo lolote la siri nyuma ya kesi ile ambalo tulikuwa hatulijui.Naamini JF haikosi watu ambao wanalijua jambo lile nje ndani na wanaweza kutupa mwanga.
Hao baba na wanawe ni mabakaji yalibaka vitoto vidogo vya shule ya msingi.
walifungwa maisha. m/zake aliamua kuwaachia pamoja na wale wengne waliofungwa maisha enzi za nyerere.
ukitaka zaidi endelea kupekua hum unaweza kupata hukumu nzima.
 
Huyo Babu Seya ni mcongo man halisi na alikuja huku kipindi hiko kama mwanamuziki lkn pia kipindi hiko ndio kulikuwa na wimbi kubwa la kupandikizwa watu nchi mbalimbali ili kujua nini hasa ajenda zao. Yy alikuwa mmoja wapo wa hiyo ishu. Ukumbuke kuwa ilikuw katika utawala wa MKAPA ma sio KIKWETE. Kiutaratibu wa hapa kwetu kesi za uhaini mara nyingi husikii zaidi utaambiwa alibaka au amefanya ujambazi wa kutumia silaha. Alipokuja Kikwete yy alikuja na mfumo kidogo wa kibabe ukivujisha siri za serikali unakula risasi hata kama ni sokoni unapigwa hapohapo. Watu kama wawili (TISS) walipigwa risasi pale Airport kwa kutoa siri kadhaa kwa mashirika ya ujasusi huko majuu.
Wewe leo umeongea kitu cha pekee kabisa ambacho kimeifungua kabisa akili yangu kuhusu swala hili
 
Back
Top Bottom