usiniguse
JF-Expert Member
- Oct 17, 2012
- 1,724
- 1,188
Ondoa neno huko utaeleweka vizuriLiwale ni wilaya ipo huko Lindi ndani kwenye mbuga ya selou
Ondoa neno huko utaeleweka vizuriLiwale ni wilaya ipo huko Lindi ndani kwenye mbuga ya selou
Rorya ipi nduguKuna Rorya pia
Kuna wilaya inaitwa Rorya hii ndio inaongozaNi matumaini yangu mu wazima..!?
Hizi wilaya zetu pamoja na changamoto za miundo mbinu ya barabara kuna ulazima wa viongozi wa kitaifa kufanya ziara ikiwezekana mara baada ya mara. Lakini hali ikiwa hivi kama ilivyo huko wilayani Liwale inaleta shida katika utendaji wa baadhi ya watumishi wa ngazi za juu ktk halmashauri. Hufanya kazi kiholela kwa kujua viongozi hawawezi fika huko...!
Jambo hili ni huko Liwale tu au kuna wilaya zingine zina changamoto hii??
Ya huko MaraRorya ipi ndugu
Kusema ukweli sio sawa na wala sio haki. Yaani ndani ya miaka 5 Raisi, au makamu wake, au waziri mkuu wanashindwa kufika wilayani kweli??? Basi hata waziri??? Nchi hii hii? Au tulidanganywa kuambiwa nchi ni moja eeh?Kuna wilaya inaitwa Rorya hii ndio inaongoza
Ni wilaya potential sana lakini ndiyo hivyo haipewi uzito unaostahiliLiwale ni wilaya ipo huko Lindi ndani kwenye mbuga ya selou
Haitaji hizo tozo ndugu, hebu jiulize kwanini hali kama hii huwezi kuikuta sehemu zingine kama Kikimanjaro na sehemu zingine je huko wanakatwa hizo tuzoIsee..! Very sad. Basi hizi tozo jamani wazipeleke huko. Ila wasiokuana huruma wanazipinga hizi tozo eti jamani...
NdioMara kwa Baba wa Taifa si eti eh?
Waziri mkuu alifika miaka mitatu nyuma kama sijakosea. Pia waziri wa maji amefika hapo karibuni na kutibua sana viongozi wazembe kwenye sekta yake hiyo.Ya huko Mara
💯Waziri mkuu alifika miaka mitatu nyuma kama sijakosea. Pia waziri wa maji amefika hapo karibuni na kutibua sana viongozi wazembe kwenye sekta yake hiyo.
Pongezi kwao kwa kufanya ziara. Yaani kwenye wilaya mfano wa hizi akipita kiongozi wa kitaifa lazima akite madudu. Hivyo ziara zao zina mchango mkubwa ktk kurekebisha mambo. Bila shaka huu uzi watakua wameusoma na wamepata wazo...Waziri mkuu alifika miaka mitatu nyuma kama sijakosea. Pia waziri wa maji amefika hapo karibuni na kutibua sana viongozi wazembe kwenye sekta yake hiyo.
We! Nani aende Rorya??Kuna Rorya pia
Huwa hakuna ziara za kushukuru wapiga kura. Ziara zote huwa ni za kikazi. Akienda waziri Mkuu kwa ziara ya kikazi inatosha kabisa.Kwani na wao si walipiga kura?? Kwenda japo hata kuwashukuru ni uungwana pia
We! Nani aende Rorya??
Kwa hiyo wasifanye ziara za ufuatiliaji? Huko kwenye hizo wilaya wanapelekewa fedha za maendeleo kila mwaka. Na kuna miradi inatekelezwa huko, kwa hiyo hizo fedha na hiyo mirafi haifuatiliwi utekelezaji wake??? Ukisema gharama, gharama haiepukiki kinachoangaliwa ni natija ya ziara. Ziara isilete hasara ukilinganisha na returns zakeHuwa hakuna ziara za kushukuru wapiga kura. Ziara zote huwa ni za kikazi. Akienda waziri Mkuu kwa ziara ya kikazi inatosha kabisa.
Kwanza hizi ziara ni kumaliza hela tu.