😂😂😂😂😂Wapo.
Mmoja wapo ndio huyo aliye compose hicho kibonzo.Maana hii katuni inatuwasilishia na kuwakilisha mawazo ya composer.
Wapo.
Mmoja wapo ndio huyo aliye compose hicho kibonzo.Maana hii katuni inatuwasilishia na kuwakilisha mawazo ya composer.
kaaaaaaaaaa!!! 🏃♂️ 🏃♂️ 🏃♂️ 🏃♂️ 🏃♂️
Nataka zote mbili kwa 140mKuna kipindi nilikua nimekata tamaa sana nikaanza kutafuta mteja anaeweza kununua figo walau niuze moja kulainisha vyuma bahati mbaya sikupata wateja ila bado ipo sokoni milion 70 kwa mtu serious anicheki pm
Sent using Jamii Forums mobile app
Mkuu nauza moja tu ili niendelee kuishi kwa hiyo moja inayobaki.Nataka zote mbili kwa 140m
Ataitumia kwanza 😂😂😂Troisième Ceil njoo umuone huyu jamaa mana nawaza akifa kabisa nani atatumia hiyo hela
Ataitumia kwanza halafu ndio atakufa, bila shaka huyo ni mwananchi mwenzako sisi wa Nguvu moja hatuna mawazo hayo.Troisième Ceil njoo umuone huyu jamaa mana nawaza akifa kabisa nani atatumia hiyo hela