amos eglan
JF-Expert Member
- Sep 27, 2015
- 310
- 462
Habari zenu wana jukwaa nimesikitika kuona utitiri wa madogo bado wanaigombania BAED hivi wameyasikia matangazo kweli ya mkulu.
Kwa nini usomee course ya unemployment?
Kwa nini watu hawana vision?
Ualimu ni zilipendwa madogo
Kwa nini usomee course ya unemployment?
Kwa nini watu hawana vision?
Ualimu ni zilipendwa madogo