Ile Blog kaiita blog ya Jamii lakini mimi naiita blog ya CCM.
Nilikua namheshimu Issa Michuzi lakini kutokana nakutokua na balance katika utoaji wake wa habari blog yake wala hata sipotezi muda wangu kuitembelea.
Ningefurahi kama ingeanzishwa blog na mtu mwingine ambaye sio mrambaji wa serikali.
Kuanzia leo bye bye Maggid bye bye Issa Michuzi.
Nilikua namheshimu Issa Michuzi lakini kutokana nakutokua na balance katika utoaji wake wa habari blog yake wala hata sipotezi muda wangu kuitembelea.
Ningefurahi kama ingeanzishwa blog na mtu mwingine ambaye sio mrambaji wa serikali.
Kuanzia leo bye bye Maggid bye bye Issa Michuzi.