changaule
JF-Expert Member
- Jan 10, 2020
- 5,580
- 9,166
Mashabiki wa Simba wanaongoza kwa kubadilika badilika maneno..
Manula akifanya makosa basi wote wanaimba wimbo wa Munula hafai. Mugali akifanya makosa wote wanaimba wimbo mmoja kuwa Mugalu awekwe benchi apangwe Kagere. Kagere akipangwa na hakufanya vyema basi wimbo unabadilika kuwa Kagere hatufai tunamtaka Mugalu
Mechi ya iliyofanyika Botswana, hakuna mshabiki yeyote aliyepiga kelele kwa Simba kucheza chini ya kiwango pamoja na kupata matokeo ya goli mbili, hii yote ni kwavile walilevya na matokeo.
Leo hii pia nimeona kila mshabiki wa Simba alitabasamu huku moyo wake akijwa na faraja kuwa pira birisni limerejea. Hii ndio Simba sasa tunayoijua Scars akadiriki hadi kusema kuwa hata tusipopata goli lakini biriani tumelipiga. Wakati huo kila mchezaji wa Simba alipewa credit hakuna ambaye aliyekuwa na jicho la ziada kubaini mapungufu ya kitimu na kujua uzuri wa wapinzani wao ukoje pamoja na kutokupata matokeo, zaidi ya wao kupata faraja ya kuona
Biriani imerejea.
Baada ya kufungwa nimeshangaa zinaanza lawama kwanzia kwa kocha, kwa wachezaji wote wapya hawafai, Manula naye analalamikiwa, Wawa nae analalamikiwa, timu kwa ujumla inalalamikiwa kuwa hamna kitu safari wanacheza ovyo. Mmesahau kipindi cha kwanza tu mmetoka kujisifia kuwa biriani imerejea,. Mliosajili ni watu kweli kweli tena watu na nusu. Simba wanaupiga mwingi mpaka unamwagika.
Manula akifanya makosa basi wote wanaimba wimbo wa Munula hafai. Mugali akifanya makosa wote wanaimba wimbo mmoja kuwa Mugalu awekwe benchi apangwe Kagere. Kagere akipangwa na hakufanya vyema basi wimbo unabadilika kuwa Kagere hatufai tunamtaka Mugalu
Mechi ya iliyofanyika Botswana, hakuna mshabiki yeyote aliyepiga kelele kwa Simba kucheza chini ya kiwango pamoja na kupata matokeo ya goli mbili, hii yote ni kwavile walilevya na matokeo.
Leo hii pia nimeona kila mshabiki wa Simba alitabasamu huku moyo wake akijwa na faraja kuwa pira birisni limerejea. Hii ndio Simba sasa tunayoijua Scars akadiriki hadi kusema kuwa hata tusipopata goli lakini biriani tumelipiga. Wakati huo kila mchezaji wa Simba alipewa credit hakuna ambaye aliyekuwa na jicho la ziada kubaini mapungufu ya kitimu na kujua uzuri wa wapinzani wao ukoje pamoja na kutokupata matokeo, zaidi ya wao kupata faraja ya kuona
Biriani imerejea.
Baada ya kufungwa nimeshangaa zinaanza lawama kwanzia kwa kocha, kwa wachezaji wote wapya hawafai, Manula naye analalamikiwa, Wawa nae analalamikiwa, timu kwa ujumla inalalamikiwa kuwa hamna kitu safari wanacheza ovyo. Mmesahau kipindi cha kwanza tu mmetoka kujisifia kuwa biriani imerejea,. Mliosajili ni watu kweli kweli tena watu na nusu. Simba wanaupiga mwingi mpaka unamwagika.