Kama ilivyo kwa polisi, Trafiki, FFU na askari wa kawaida wote husoma kozi ile ile; pia kwa uandishi wa habari, waandishi wa magazeti, watangazaji wa redio/tv na wapiga picha husoma kozi moja, labda pale mtu anapoamua kujiendeleza mwenyewe. Tumezoea kuona wahariri wakiandika habari, makala na maoni mbalimbali, vivyo hivyo wahariri waliopo kwenye redio/tv wameendelea kuwa watangazaji.
Swali langu ni je, kwa nini hatuoni wahariri ambao wameendelea kuwa wapiga picha za matukio ya kihabari?
Swali langu ni je, kwa nini hatuoni wahariri ambao wameendelea kuwa wapiga picha za matukio ya kihabari?