gango2
JF-Expert Member
- Aug 31, 2011
- 1,941
- 2,251
Igwee!!!
Katika pita pita zangu nimekuwa nikisikia kila mtu akinipa maelezo kuwa aisee nimeumwa mafua, mara last week nilikuwa sisikii harufu hata ya kinyesi, mwengine atasema mara koromeo limemuuma mpaka basi.
Now considering hii wanayosema haka kavirus kanajibadilisha badilisha kila siku- hivi kuna uwezekanao kale kalikowatesa wanzetu kule china na italia kwetu kamejibadilisha kamekuwa sio kakali zaidi na tumeshaumwa umwa sana haka ka-corona mpka kanaisha kenyewe!
hetu kama kuna wataalamu wa afya humu watujuze based na experience wanazokutananazo huko!
Katika pita pita zangu nimekuwa nikisikia kila mtu akinipa maelezo kuwa aisee nimeumwa mafua, mara last week nilikuwa sisikii harufu hata ya kinyesi, mwengine atasema mara koromeo limemuuma mpaka basi.
Now considering hii wanayosema haka kavirus kanajibadilisha badilisha kila siku- hivi kuna uwezekanao kale kalikowatesa wanzetu kule china na italia kwetu kamejibadilisha kamekuwa sio kakali zaidi na tumeshaumwa umwa sana haka ka-corona mpka kanaisha kenyewe!
hetu kama kuna wataalamu wa afya humu watujuze based na experience wanazokutananazo huko!