Hivi kuna uwezekano wa watu au mtu binafsi kufungua kesi mahakama kuu kuishtaki serikali. Mfano, Waziri wa afya alitamka kuwa serikali haina mpango wa kuagiza chanjo ya korona.
Serikali inaweza kushtakiwa kwa kuwanyima raia wake haki ya kuzuia maambukizo?
Serikali inaweza kushtakiwa kwa kuwanyima raia wake haki ya kuzuia maambukizo?