Hivi kuna umuhimu gani wa kuvaa chupi au boksa.

Mi sionagi hata umuhimu wa boxer,kwani dushe likiamka boxer itazuia nini,tena bora hata uvae suruali tuu dushe liki smile unaingiza mkono mfukoni unalikamatia upande,ukiona limecharuka sana unakaa kituoni unajifanya unasubiria daladala wakati huo unali please lipoe,au by emergency unaweza jigongesha kwenye anker kidogo fastaaaa linanywea,chupi ndio zinazuia au boxer zile za tyt ila sio boxer kaptura
 
Back
Top Bottom