MAHANJU
JF-Expert Member
- Aug 26, 2014
- 5,244
- 7,966
Inapotokea mbunge wa CCM anafariki, ni kwanini CCM hupeleka watoto wao kurithi nafasi hizo ili kupata mgombea wao? Inamaana hua hakuna watu wenye uwezo zaidi ya vigogo hao? Huu ni uonevu uliokthiri na unakiuka katiba ya chama hicho.
Ndio maana hawataki katiba mpya hawa.Huu ni udhihirisho mojawapo.
Ndio maana hawataki katiba mpya hawa.Huu ni udhihirisho mojawapo.