Hivi kuna ulazima wakuu wilaya/mikoa na Mawaziri kujiingiza kwenye adhabu za wanafunzi moja kwa moja?

Paul Alex

JF-Expert Member
Jul 14, 2012
4,240
9,527
Dhana ya uongozi nayoiamini mimi ni pale viongozi wanapowajibika kama system.
Mfano: kukiwa na tatizo la mwanafunzi mmoja au wawili kwa Waziri kuingilia kati labda tatizo hilo liwe na dalili za kiwa epidemic.

Unless otherwise, hakuna sababu ya viongozi wa juu kujiingiza moja kwa moja kwenye adhabu za wanafunzi.

Psychologically sio afya kwa kijana aliyekosea kuona anaadhibiwa na serikali hasa kama kosa lenyewe ni la kawaida.
Jamii itamchukulia kama mtu aliyeshindikana na hata yeye anaweza kujiweka kwenye kundi la watu walioshindikana.

Au anaweza asiweze kusurvive hiyo attention ya kiadhibiwa na viongozi wakubwa.

Hawa viongozi wa wilaya, mikoa na mawaziri bado wana majukumu mengi tu yakimaendeleo na kiuongozi katika jamii.
Wanamajukumi pia ya kuleta ubunifu na kuchochea ubunifu.

Kwangu hainiingii akilini kuona DC au RC anafanya kazi ya mwalimu wa zamu.

Hii inaonyesha kufeli kwa dhana ya uongozi.
Makosa ya wanafunzi tunayoyaona leo ma RC au ma DC wakiyafanyia kazi, mengi wala hayahitaji bodi ya shule kuchukua hatua.

Kuna mwalimu wa zamu, mwalimu wa nidhamu, mwalimu mkuu!!
Kushindwa kuwaongoza hawa ni kushindwa kwa dhana ya uongozi.

Makosa ya wanafunzi hayawezi kuisha na wala hayatakaa yaishe maana ni sehemu ya kukua kwao.

Ukiona shule ina wanafunzi wote wasiotenda makosa ujue hapo kuna tatizo!
Lazima wakosee ili wajifunze.

Kushughulikia matatizo ya wanafunzi kama unashughulikia ujambazi ili kuutokomeza ni dhana mbovu!
 
Leo umeandika ujinga unaodhihirisha ufikiri wako ulivyo duni sana. serikali kama mzazi au mlezi haipo tayari kuona watoto wana utovu Wa nidhamu kisa utetezi wako wa kusema bado wanakua hivyo serikali ina jukumu la kuadhibu, kukanya na kuonya bila kujali umri au ukuaji.

kudhibibiti nidhamu kwa watoto watukutu si jukumu la mwalimu au mwalimu wa nidhamu ni jukumu la jamii nzima kwa sababu madhara yatokanayo na nidhamu mbovu ni ya kijamii. ongeza upeo wa kufikiri juu ya hilo. ma RC na DC wana jukumu hilo Mona kwa moja kama wanajamii.

Naona aibu Mimi kuona mnafanya siasa za hovyo kwenye vitu vya hovyo vinavyohatarisha mustakabali mzuri wa taifa Letu. serikali pia INA jukumu la kudhibiti nidhamu mbovu kwa kuwa inahusika na matatizo ya kijamii yatokanayo na matokeo ya nidhamu hizo.
 
Leo umeandika ujinga unaodhihirisha ufikiri wako ulivyo duni sana. serikali kama mzazi au mlezi haipo tayari kuona watoto wana utovu Wa nidhamu kisa utetezi wako wa kusema bado wanakua hivyo serikali ina jukumu la kuadhibu, kukanya na kuonya bila kujali umri au ukuaji.

kudhibibiti nidhamu kwa watoto watukutu si jukumu la mwalimu au mwalimu wa nidhamu ni jukumu la jamii nzima kwa sababu madhara yatokanayo na nidhamu mbovu ni ya kijamii. ongeza upeo wa kufikiri juu ya hilo. ma RC na DC wana jukumu hilo Mona kwa moja kama wanajamii.

Naona aibu Mimi kuona mnafanya siasa za hovyo kwenye vitu vya hovyo vinavyohatarisha mustakabali mzuri wa taifa Letu. serikali pia INA jukumu la kudhibiti nidhamu mbovu kwa kuwa inahusika na matatizo ya kijamii yatokanayo na matokeo ya nidhamu hizo.
Umenitukana sana na sijui kwanini!
Dereva, kondakta na fundi wote wanawajibika kwenye zoezi la usafiri ila kila mtu ana jukumu lake.
Ukikuta dareva amesimamisha gari halafu anagawa pipi kwenye gari ujue dereva na utaratibu mzima wa uongozi kwenye hilo gari unashida.
Unaweka mno unazi wa chama mpaka unashindwa kuona hoja.
 
Umenitukana sana na sijui kwanini!
Dereva, kondakta na fundi wote wanawajibika kwenye zoezi la usafiri ila kila mtu ana jukumu lake.
Ukikuta dareva amesimamisha gari halafu anagawa pipi kwenye gari ujue dereva na utaratibu mzima wa uongozi kwenye hilo gari unashida.
Unaweka mno unazi wa chama mpaka unashindwa kuona hoja.

Wewe kimbia thread


Ungewalaumu waalimu walikuwa wapi mpaka DC au RC anaingilia haya


Haujawaza vizuri
 
hata mzazi kumwazibu mtoto mbele ya shule ni adhabu kali na ya juu, mtoto uwa anathirika sana kisaikologia sembuse dc au rc, tuwafundishe faraja sio ukatili
 
Umenitukana sana na sijui kwanini!
Dereva, kondakta na fundi wote wanawajibika kwenye zoezi la usafiri ila kila mtu ana jukumu lake.
Ukikuta dareva amesimamisha gari halafu anagawa pipi kwenye gari ujue dereva na utaratibu mzima wa uongozi kwenye hilo gari unashida.
Unaweka mno unazi wa chama mpaka unashindwa kuona hoja.
Dereva, kondakta na fundi ni kweli kila mtu ana jukumu lake lakini wakati ambao gari lipo katika hali ya kawaida( halina hitilafu au misukosuko) lakini wakati gari linaenda mrama kila mtu atakuwa na jukumu la kulidhibiti gari.

hivyo ndivyo ilivyo kwa wanafunzi, kila mtu ana jukumu lake tofauti lakini katika kudhibiti nidhamu kila MTU ana jukumu hilo bila kujali dini ,kabila, elimu au cheo ili mradi awe na nia ya kudhibiti matatizo yatokanayo na nidhamu mbovu katika jamii
 
Dhana ya uongozi nayoiamini mimi ni pale viongozi wanapowajibika kama system.
Mfano: kukiwa na tatizo la mwanafunzi mmoja au wawili kwa Waziri kuingilia kati labda tatizo hilo liwe na dalili za kiwa epidemic.

Unless otherwise, hakuna sababu ya viongozi wa juu kujiingiza moja kwa moja kwenye adhabu za wanafunzi.

Psychologically sio afya kwa kijana aliyekosea kuona anaadhibiwa na serikali hasa kama kosa lenyewe ni la kawaida.
Jamii itamchukulia kama mtu aliyeshindikana na hata yeye anaweza kujiweka kwenye kundi la watu walioshindikana.

Au anaweza asiweze kusurvive hiyo attention ya kiadhibiwa na viongozi wakubwa.

Hawa viongozi wa wilaya, mikoa na mawaziri bado wana majukumu mengi tu yakimaendeleo na kiuongozi katika jamii.
Wanamajukumi pia ya kuleta ubunifu na kuchochea ubunifu.

Kwangu hainiingii akilini kuona DC au RC anafanya kazi ya mwalimu wa zamu.

Hii inaonyesha kufeli kwa dhana ya uongozi.
Makosa ya wanafunzi tunayoyaona leo ma RC au ma DC wakiyafanyia kazi, mengi wala hayahitaji bodi ya shule kuchukua hatua.

Kuna mwalimu wa zamu, mwalimu wa nidhamu, mwalimu mkuu!!
Kushindwa kuwaongoza hawa ni kushindwa kwa dhana ya uongozi.

Makosa ya wanafunzi hayawezi kuisha na wala hayatakaa yaishe maana ni sehemu ya kukua kwao.

Ukiona shule ina wanafunzi wote wasiotenda makosa ujue hapo kuna tatizo!
Lazima wakosee ili wajifunze.

Kushughulikia matatizo ya wanafunzi kama unashughulikia ujambazi ili kuutokomeza ni dhana mbovu!
Kimetokea nini tena!??
 
Siku si nyingi tutamshuhudia jiwe naye akitoa stiki kwa madenti, ukizingatia ni ticha kitaaluma! Mtatilo naye katembeza fimbo...madenti awamu hii kazi mnayo!
 
Leo umeandika ujinga unaodhihirisha ufikiri wako ulivyo duni sana. serikali kama mzazi au mlezi haipo tayari kuona watoto wana utovu Wa nidhamu kisa utetezi wako wa kusema bado wanakua hivyo serikali ina jukumu la kuadhibu, kukanya na kuonya bila kujali umri au ukuaji.

kudhibibiti nidhamu kwa watoto watukutu si jukumu la mwalimu au mwalimu wa nidhamu ni jukumu la jamii nzima kwa sababu madhara yatokanayo na nidhamu mbovu ni ya kijamii. ongeza upeo wa kufikiri juu ya hilo. ma RC na DC wana jukumu hilo Mona kwa moja kama wanajamii.

Naona aibu Mimi kuona mnafanya siasa za hovyo kwenye vitu vya hovyo vinavyohatarisha mustakabali mzuri wa taifa Letu. serikali pia INA jukumu la kudhibiti nidhamu mbovu kwa kuwa inahusika na matatizo ya kijamii yatokanayo na matokeo ya nidhamu hizo.
Nadhani wewe ndo umeandika ujinga kuliko mleta mada.

Shuleni kuna uongozi! Kuna Mwl. Wa darasa, Mwl. Idara ya Malezi na ushauri, Kamati ya nidhamu, Idara ya Taaluma, Ofisi Kuu, Kamati ya wazazi na juu kabisa kuna Bodi ya shule

Kamati na idara zote nilizotaja zipo kwa ajili ya kuhakikisha mtoto anakua na kupata Taaluma anayostahili ili aje kulisaidia Taifa.

Kwa utaratibu huo issue inatakiwa ianzie kwa Mwl.wa darasa ambaye kimsingi ndo mlezi wa watoto wa darasa husika.

Issue ikiwa kubwa inaenda Idara ya malezi, wakishindwa wanaipush kwenye Kamati ya nidhamu kwa hatua zaidi, Kamati ya nidhamu ikiona jambo ni kubwa inamshauri Mkuu wa shule kupeleka swala husika kwenye Bodi ya shule ambayo ndo yenye maamuzi ya mwisho

Sasa kwa upeo wako, ni yupi anaweza kusaidia kwa ukaribu zaidi mwenendo wa mtoto kati ya Idara hizo na Rc au DC?

Hawa viongozi wa juu wao wanatakiwa kutoa maelekezo kwa hizo idara tendaji endapo kuna swala limekuwa gumu kutatua au limekuwa chronic!

Sio busara kuingilia moja kwa moja utendaji wa kila siku wa hizo idara! Mfano kusimamia adhabu za viboko au kutoa adhabu wao moja kwa moja

Kushiriki moja kwa moja kuna weza kusababisha jambo baya zaidi! Mfano, kama mtoto ni mtukutu akachapwa fimbo na Mkuu wa Mkoa halafu baadae akafanya tena kosa, atachapwa na nani sasa!! Au ataadhibiwa na nani?

Hao viongozi wabaki kutoa maelekezo tu kuliko kuingia moja kwa moja wanaweza kujenga usugu kwa watoto na wao wenyewe kujishushia heshima au kusababisha madhara makubwa kwa mtoto!

Nawaza tu ikitokea Mkuu wa Mkoa ameshika fimbo kumchapa mtoto halafu ndogo na ndumu zake likampola fimbo au kutimua mbio wale askari wanaombatana na RC watafanyaje? Najaribu kuwaza tu maana kuna madogo walishajizila
 
Akili yako ndogo
Dereva, kondakta na fundi ni kweli kila mtu ana jukumu lake lakini wakati ambao gari lipo katika hali ya kawaida( halina hitilafu au misukosuko) lakini wakati gari linaenda mrama kila mtu atakuwa na jukumu la kulidhibiti gari.

hivyo ndivyo ilivyo kwa wanafunzi, kila mtu ana jukumu lake tofauti lakini katika kudhibiti nidhamu kila MTU ana jukumu hilo bila kujali dini ,kabila, elimu au cheo ili mradi awe na nia ya kudhibiti matatizo yatokanayo na nidhamu mbovu katika jamii
 
Uko sahihi sana mkuu.
Nadhani wewe ndo umeandika ujinga kuliko mleta mada.

Shuleni kuna uongozi! Kuna Mwl. Wa darasa, Mwl. Idara ya Malezi na ushauri, Kamati ya nidhamu, Idara ya Taaluma, Ofisi Kuu, Kamati ya wazazi na juu kabisa kuna Bodi ya shule

Kamati na idara zote nilizotaja zipo kwa ajili ya kuhakikisha mtoto anakua na kupata Taaluma anayostahili ili aje kulisaidia Taifa.

Kwa utaratibu huo issue inatakiwa ianzie kwa Mwl.wa darasa ambaye kimsingi ndo mlezi wa watoto wa darasa husika.

Issue ikiwa kubwa inaenda Idara ya malezi, wakishindwa wanaipush kwenye Kamati ya nidhamu kwa hatua zaidi, Kamati ya nidhamu ikiona jambo ni kubwa inamshauri Mkuu wa shule kupeleka swala husika kwenye Bodi ya shule ambayo ndo yenye maamuzi ya mwisho

Sasa kwa upeo wako, ni yupi anaweza kusaidia kwa ukaribu zaidi mwenendo wa mtoto kati ya Idara hizo na Rc au DC?

Hawa viongozi wa juu wao wanatakiwa kutoa maelekezo kwa hizo idara tendaji endapo kuna swala limekuwa gumu kutatua au limekuwa chronic!

Sio busara kuingilia moja kwa moja utendaji wa kila siku wa hizo idara! Mfano kusimamia adhabu za viboko au kutoa adhabu wao moja kwa moja

Kushiriki moja kwa moja kuna weza kusababisha jambo baya zaidi! Mfano, kama mtoto ni mtukutu akachapwa fimbo na Mkuu wa Mkoa halafu baadae akafanya tena kosa, atachapwa na nani sasa!! Au ataadhibiwa na nani?

Hao viongozi wabaki kutoa maelekezo tu kuliko kuingia moja kwa moja wanaweza kujenga usugu kwa watoto na wao wenyewe kujishushia heshima au kusababisha madhara makubwa kwa mtoto!

Nawaza tu ikitokea Mkuu wa Mkoa ameshika fimbo kumchapa mtoto halafu ndogo na ndumu zake likampola fimbo au kutimua mbio wale askari wanaombatana na RC watafanyaje? Najaribu kuwaza tu maana kuna madogo walishajizila
 
Na wewe ni mwanafunzi?

Jibu lako linaonesha jinsi usivyoweza kuona mbali,na labda bado wewe ni kijana sana.

Vinginevyo kazi ya uongozi haiwezi kuwa sehemu ya maisha yako,labda uniambie kwamba wewe ni towashi na maisha yako ni jeshini.
Leo umeandika ujinga unaodhihirisha ufikiri wako ulivyo duni sana. serikali kama mzazi au mlezi haipo tayari kuona watoto wana utovu Wa nidhamu kisa utetezi wako wa kusema bado wanakua hivyo serikali ina jukumu la kuadhibu, kukanya na kuonya bila kujali umri au ukuaji.

kudhibibiti nidhamu kwa watoto watukutu si jukumu la mwalimu au mwalimu wa nidhamu ni jukumu la jamii nzima kwa sababu madhara yatokanayo na nidhamu mbovu ni ya kijamii. ongeza upeo wa kufikiri juu ya hilo. ma RC na DC wana jukumu hilo Mona kwa moja kama wanajamii.

Naona aibu Mimi kuona mnafanya siasa za hovyo kwenye vitu vya hovyo vinavyohatarisha mustakabali mzuri wa taifa Letu. serikali pia INA jukumu la kudhibiti nidhamu mbovu kwa kuwa inahusika na matatizo ya kijamii yatokanayo na matokeo ya nidhamu hizo.
 
Na wewe ni mwanafunzi?

Jibu lako linaonesha jinsi usivyoweza kuona mbali,na labda bado wewe ni kijana sana.

Vinginevyo kazi ya uongozi haiwezi kuwa sehemu ya maisha yako,labda uniambie kwamba wewe ni towashi na maisha yako ni jeshini.
Acha kushabikia yasiyofaa ,jamii inaangamia kutokana na akili kama yako kuendelea kuwepo. kwa ufikiri wako jukumu la nidhamu lisimamiwe na nani moja kwa moja kama sio jamii nzima?

Leo mnaposema viongozi wa serikali wasihusike moja kwa moja , kesho wanafunzi hao watukutu wakiwa vibaka, majambazi, makahaba mnaomba viongozi wa serikali iwasaidie kuwadhibiti lakini hamkutaka wadhibiti kiini cha tatizo. acheni siasa za hivyo ndio maana watanzania wanawaona watu wa hovyo
 
Leo umeandika ujinga unaodhihirisha ufikiri wako ulivyo duni sana. serikali kama mzazi au mlezi haipo tayari kuona watoto wana utovu Wa nidhamu kisa utetezi wako wa kusema bado wanakua hivyo serikali ina jukumu la kuadhibu, kukanya na kuonya bila kujali umri au ukuaji.

kudhibibiti nidhamu kwa watoto watukutu si jukumu la mwalimu au mwalimu wa nidhamu ni jukumu la jamii nzima kwa sababu madhara yatokanayo na nidhamu mbovu ni ya kijamii. ongeza upeo wa kufikiri juu ya hilo. ma RC na DC wana jukumu hilo Mona kwa moja kama wanajamii.

Naona aibu Mimi kuona mnafanya siasa za hovyo kwenye vitu vya hovyo vinavyohatarisha mustakabali mzuri wa taifa Letu. serikali pia INA jukumu la kudhibiti nidhamu mbovu kwa kuwa inahusika na matatizo ya kijamii yatokanayo na matokeo ya nidhamu hizo.
Ahsante!
 
Acha kushabikia yasiyofaa ,jamii inaangamia kutokana na akili kama yako kuendelea kuwepo. kwa ufikiri wako jukumu la nidhamu lisimamiwe na nani moja kwa moja kama sio jamii nzima?

Leo mnaposema viongozi wa serikali wasihusike moja kwa moja , kesho wanafunzi hao watukutu wakiwa vibaka, majambazi, makahaba mnaomba viongozi wa serikali iwasaidie kuwadhibiti lakini hamkutaka wadhibiti kiini cha tatizo. acheni siasa za hivyo ndio maana watanzania wanawaona watu wa hovyo
Uelewa wako wa mambo ni mdogo
 
Uelewa wako wa mambo ni mdogo
inawezekana uelewa wangu ni mdogo lakini nina uwezo mkubwa wa ufikiri na kutambua athari mapema kuliko wewe. umetoa mifano isiyofanana na uhalisia kabisa kuonesha uwezo wako ulivyo duni.

Nimekuuliza maswali yafuatayo:

ni nani ana wajibu na jukumu la kuadhibu watoto/ wanafunzi moja kwa moja kama sio jamii nzima ?

ma RC na DC si wanajamii ambao wana jukumu la kudhibiti nidhamu mbovu?

Kwa nini serikali na viongozi wake wasihusike moja kwa moja kama matatizo yatokanayo na nidhamu mbovu yanaiathiri moja kwa moja serikali?

Kwa nini watu wanaomba msaada kwa viongozi wa serikali kudhibiti mienendo mibovu katika jamii iliyosababishwa na nidhamu mbovu ya wanafunzi kama? kwa nini serikali ishirikishwe kwenye kutatua matatizo na sio kudhibiti na kuzuia kiini cha matatizo.

kwa kukusaidia tu , soma vitabu vitakatifu vya Mungu juu ya malezi na makuzi bora ya watoto ili uondokane na fikra mfu za kutetea ujinga
 
Back
Top Bottom