Siyo lazima kama mtu anaweza kushinda vishawishi na kuepuka zinaa kwa mujibu wa Biblia. Mtume Paulo alisema ni vizuri kama watu wangeishi kama yeye maana alikuwa hajaoa lakini ili kuepuka zinaa ni heri kila mtu awe na mke wake mwenyewe.
Hata hivyo ili kuzaa sio lazima uoe au kuolewa. Ni woga wa binadamu dhidi ya maneno ya wanajmii ndio unaopelekea watu kulazmisha kuoa au kuolewa. Nawafagilia sana wadada wanaoendesha maisha yao bila kuwa na mtindio wa kutaka kuolewa
Kama huko single afu unatembelea MMU sishangai unajiuliza kama ni lazima kuoa/kuolewa. Nadhani ma thread yanawatisha vijana. I thank God sikuwahi tembelea MMU kabla sijaolewa maana labda na mimi ningekuwa kati ya wale wanaoogopa ndoa.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.