MR LINKO
JF-Expert Member
- Aug 20, 2016
- 3,034
- 3,480
Hivi mlishaachana labda kwa amani au mijeledi alafu ikatokea baadae ex wako akaja kukuomba samahani labda alikutukana au vitu km hivyo hadi kuachana. Alafu ukamwambia nishakusamehe uwe na maisha mazuri hata Mimi nimeshaoa/olewa alafu akwambie basi tuwe tu marafiki nitumie picha whatsapp.. Mtu mlishaachana kuna ulazima wakuwa marafiki??
Unataka ushauri ili iweje? Kwani watu kurudiana ni ajabu au?Hivi mlishaachana labda kwa amani au mijeledi alafu ikatokea baadae ex wako akaja kukuomba samahani labda alikutukana au vitu km hivyo hadi kuachana. Alafu ukamwambia nishakusamehe uwe na maisha mazuri hata Mimi nimeshaoa/olewa alafu akwambie basi tuwe tu marafiki nitumie picha whatsapp.. Mtu mlishaachana kuna ulazima wakuwa marafiki??
Kuna ile unakuta hamkuachana as such, ni kwamba tu mlipotezana au mawasiliano yalikatika labda mmoja alihama mkoa then akaibiwa sim na vitu kama ivyo.. Hii hua inanoga sana siku mkija kukutana instagram aisee mnaanza upyaaaaaa! 😄Urafiki na Ex wakazi gani? Aisee kila mtu abebe hamsini zake.
Ni vizuri zaidi kusiwe na mawasiliano ya aina yoyote na ex ili asije akakuharibia your current relationship. Kama anataka sana ukaribu na wewe asingekuacha.
Sent using Jamii Forums mobile app
Ex wako katukakwa? Yupi?
😀😀😀 Nimeelewa
Kama mliachana vizuri si kwa ugomvi, mfano sababu ya umbali, kuwa marafiki haina shida. Ila kama mliachana kwa magomvi na kashfa, kuna mtego hapo. Haifai kbs. Kaa mbaliHivi mlishaachana labda kwa amani au mijeledi alafu ikatokea baadae ex wako akaja kukuomba samahani labda alikutukana au vitu km hivyo hadi kuachana. Alafu ukamwambia nishakusamehe uwe na maisha mazuri hata Mimi nimeshaoa/olewa alafu akwambie basi tuwe tu marafiki nitumie picha whatsapp.. Mtu mlishaachana kuna ulazima wakuwa marafiki??
Ahahahaaaaaaa