Mehek
JF-Expert Member
- Feb 26, 2017
- 7,474
- 10,418
Hivi mlishaachana labda kwa amani au mijeledi alafu ikatokea baadae ex wako akaja kukuomba samahani labda alikutukana au vitu kama hivyo hadi kuachana. Alafu ukamwambia nishakusamehe uwe na maisha mazuri hata Mimi nimeshaoa/olewa alafu akwambie basi tuwe tu marafiki nitumie picha Whatsapp. Mtu mlishaachana kuna ulazima wa kuwa marafiki?