atlas copco
JF-Expert Member
- Jun 15, 2015
- 8,292
- 9,390
Ina maana ile siku huyo Sabaya ameenda kwenye ile hotel na kuhitaji aitiwe msanii alielala pale walikuja kufanikiwa kumla?Alkua chawa wa jiwe kupitia kina Jerry mulo na Sabaya.
Root za dar-moshi-arusha zilikua nyingi Sana enzi za mwendazake.
Hata genge la mtungo wa NANDY CHUGA nae katajwa sana kuhusika japokua hakupiga ila alikuepo na alikausha mdada wa watu akipelekewa Moto next door
Sent using Jamii Forums mobile app