waubani
JF-Expert Member
- Nov 21, 2012
- 542
- 210
Mbona mimi naona baadhi ya wachangiaji wanachangia vizuri ila wanaikwepa mada yenyewe.
Je kusoma sana ni kuwa na PhD, Masters, Uprofesa tuu? au ni kuongeza ufahamu tuu?
Tunapozungumzia kipato kikubwa tunamaanisha ukubwa wa kiwango gani?j
Je tunatofautisha mshahara(uajiriwa) au ujasiriamali(uwekezaji)?
Je kusoma sana ni kuwa na PhD, Masters, Uprofesa tuu? au ni kuongeza ufahamu tuu?
Tunapozungumzia kipato kikubwa tunamaanisha ukubwa wa kiwango gani?j
Je tunatofautisha mshahara(uajiriwa) au ujasiriamali(uwekezaji)?