kyagata
JF-Expert Member
- Oct 18, 2016
- 6,495
- 12,594
Habari za mihangaiko wakuu?
Nimekua nikifuatilia mara kwa mara warsha, sherehe au hata semina zinazousu serikali. Kila inapotokea kuna shughuli yoyote ya kiserikali basi utakuta pale meza kuu maji yiliyowekwa ni Kilimanjaro pure drinking water.
Sijawhi kuona shughuli yoyote ya kiserikali wameweka maji ya uhai, safina, masafi etc.
Hivi kutakua na uhusiano gani kati ya serikali na hayo maji ya kilimanjaro?
Nimekua nikifuatilia mara kwa mara warsha, sherehe au hata semina zinazousu serikali. Kila inapotokea kuna shughuli yoyote ya kiserikali basi utakuta pale meza kuu maji yiliyowekwa ni Kilimanjaro pure drinking water.
Sijawhi kuona shughuli yoyote ya kiserikali wameweka maji ya uhai, safina, masafi etc.
Hivi kutakua na uhusiano gani kati ya serikali na hayo maji ya kilimanjaro?