Lenyox
Senior Member
- Dec 7, 2011
- 174
- 360
Ni maji au chupa? Hata mi naipenda chupa akeBinafsi ni dew drop
Ni maji au chupa? Hata mi naipenda chupa akeBinafsi ni dew drop
Hata mimi nimekuwa nikijiuliza swali hilo kila ninapofika kwenye mikutano kwa maji ni Kilimanjaro tu?Habari za mihangaiko wakuu?
Nimekua nikifuatilia mara kwa mara warsha, sherehe au hata semina zinazousu serikali. Kila inapotokea kuna shughuli yoyote ya kiserikali basi utakuta pale meza kuu maji yiliyowekwa ni Kilimanjaro pure drinking water.
Sijawhi kuona shughuli yoyote ya kiserikali wameweka maji ya uhai, safina, masafi etc.
Hivi kutakua na uhusiano gani kati ya serikali na hayo maji ya kilimanjaro?
Halafu tusisau kuwa maji ya Kilimanjaro ni maji yaliyoanza kutengenezwa zamani sana... kabla kila mjasiriamali hajaja na brand yake! Kipindi yanatoka ilikuwa ni watu wenye fedha ndefu tu ndio utawaona wanayanywa. Hivyo umaarufu wake umeanzia mbali. Ofcourse na watengenezaji wake wamejitahidi kuyafanya yaaminike!Mi nadhani ni brand na pia yeye ndio alikuwa wa kwanza kushika soko.
Kuna uwezekano tender za mwanzo kabisa alizikamata yeye. Kwahyo mazoea yanaendelea.
Kwa nini wewe huu muda wa kuchangia hii thread, usikae na familia yako? ........... Hata hivyo JF kuna nyuzi na majukwaa kibao kama hupendezwi ma kimoja wapo piga chini........ Kwani lazima usome au uchangie kila nyuzi............hivi ingekua nyuzi haina mashiko si moderator wangeifuta tayari? .......... Huu utaratibu wa kupangiana cha kupost munaotoa wapi?Mkuu ukiwa na maisha magumu utamlaumu mtu? Mbona unafatilia ishu ambazo sio za msingi? Muda wa kufatilia hayo maji si ungekaa na familia yako
nilikunywa udzungwa ya Iringa niliyapenda japo my home drinking water is Kilimanjaro drinking water.Kuna maji yanatengenezwa iringa yako poa sana
Bora hayo kuliko vinyesi vya pale Vingunguti.nilikunywa udzungwa ya Iringa niliyapenda japo my home drinking water is Kilimanjaro drinking water.
hawa jamaa wana vi juice pia vya jambo viko pooa sana.Shytown maji ya JAMBO ndo habari ya mjini.
Hayo maji ya Iringa mkuu kuna jamaa yangu alikuwa anayauza jumla ni mazuri sana, kama miaka 3 yalimtoa na hiyo biashara kaachana nayo, yalikuwa yanafungwa kwenye box sijui kama hadi sasa hivi ndiyo pakage yake...Kuna maji yanatengenezwa iringa yako poa sana
Kilimanjaro Ni maji ya mtanzania mzawa mwenzetu.Tunamuunga mkonoWanatangaza utalii wa mlima Kilimanjaro
Wakati ujao ukinijibu kitu jitahidi uandike kiswahili lugha zenu za nachingwea sizitakiKwa nini wewe huu muda wa kuchangia hii thread, usikae na familia yako? ........... Hata hivyo JF kuna nyuzi na majukwaa kibao kama hupendezwi ma kimoja wapo piga chini........ Kwani lazima usome au uchangie kila nyuzi............hivi ingekua nyuzi haina mashiko si moderator wangeifuta tayari? .......... Huu utaratibu wa kupangiana cha kupost munaotoa wapi?