Suzy Elias
JF-Expert Member
- Nov 9, 2021
- 1,067
- 6,193
Kwanini CCM hutumia gharama za aina yeyote ili tu kubakia madarakani kipi wanahofia endapo watapatikana wengine kuongoza nchini?
Yanini tunakubali kujiandalia kisasi cha haja kwa mambo ambayo yanaepukika jsmani?
Kwani leo akitawala CCM na kesho NCCR keshokutwa Chadema kuna ubaya gani?
Hivi leo Mbowe awe Rais wa Nchi kisasi kwa Samia kinaepukikwa vipi?!
Hivi leo Chadema wawe watawala katika Nchi hii wana CCM hiyo amani mtaitoa wapi?!
Ukweli ni kwamba CCM na Viongozi wake popote walipo kwa haya manyanyaso kwa wafanya siasa wenzenu ni hatari kwa ndoto na maisha yenu ya baadae.
Kwa ninachokiona sasa NI RAHISI KWA MAGUFULI KUSAMEHEWA NA CHADEMA NA SI SAMIA.
Muda utaongea.
Yanini tunakubali kujiandalia kisasi cha haja kwa mambo ambayo yanaepukika jsmani?
Kwani leo akitawala CCM na kesho NCCR keshokutwa Chadema kuna ubaya gani?
Hivi leo Mbowe awe Rais wa Nchi kisasi kwa Samia kinaepukikwa vipi?!
Hivi leo Chadema wawe watawala katika Nchi hii wana CCM hiyo amani mtaitoa wapi?!
Ukweli ni kwamba CCM na Viongozi wake popote walipo kwa haya manyanyaso kwa wafanya siasa wenzenu ni hatari kwa ndoto na maisha yenu ya baadae.
Kwa ninachokiona sasa NI RAHISI KWA MAGUFULI KUSAMEHEWA NA CHADEMA NA SI SAMIA.
Muda utaongea.