Red Giant
JF-Expert Member
- Mar 9, 2012
- 15,658
- 20,885
nimekuta watu wanabishana sana kuhusu hili. mi kwa upande wangu sioni ubaya wowote zaidi naona faida tu. hebu fikiria mauaji ya Rwanda bila kuwekwa mitandaoni na magazetini watu wengine si wangekua wanabisha? au mauaji ya wayahudi ambayo baadhi ya watu wanayabishia kungekuwa hamna picha si ingekuwa balaa?. pia naona picha zinasaidia sana kutoa fununu za ajabuajabu kama watu kuhusishwa na ufreemason na wengine kuambiwa wamekufa na vyanzo ambavyo sio. je we unamaoni gani?.afu bila kusahau, jama kuna mtu ana buku tano hapo aniazime nikanunue viroba mshahara ukitoka ntamrudishia.