Jessy Joseph
Member
- Feb 23, 2017
- 55
- 26
hili nalo neno"Adam akamjua mkewe nae akazaa mwana nao wakamwita kaini"
Ibrahim akamjua mkewe nae akazaa mwana nao wakamwita isaka"
Na hio ndio maana ya kujuana
Nmekusoma fresh chiefKumfahamu ni kuwa na taarifa za huyo mtu/kusikia habari zake/kumuelewa. Kumjua mtu, ni kumwelewa kwa undani. Ukiulizwa unafahamu Kiingereza?. Jibu likiwa ndiyo, maana yake unafahamu kuwa Kiiingereza ni moja ya lugha na wenyewe ni Waingereza
Ukiulizwa kama unajua Kiingereza, maana yake ni kuijua-lugha ya Kiingereza kwa kuizungumza/
Kuisoma na kuandika.
Nmekusoma fresh chief
Kwa hiyo mke wangu kama sijamzalisha, simjui?hili nalo neno
Njoo nikujue..tunaweza zaa Rais"Adam akamjua mkewe nae akazaa mwana nao wakamwita kaini"
Ibrahim akamjua mkewe nae akazaa mwana nao wakamwita isaka"
Na hio ndio maana ya kujuana
"Adam akamjua mkewe nae akazaa mwana nao wakamwita kaini"
Ibrahim akamjua mkewe nae akazaa mwana nao wakamwita isaka"
Na hio ndio maana ya kujuana
Nimeipenda hii"Adam akamjua mkewe nae akazaa mwana nao wakamwita kaini"
Ibrahim akamjua mkewe nae akazaa mwana nao wakamwita isaka"
Na hio ndio maana ya kujuana
kwani wanaume huwa wanaenda leba??? Nyoosha sentenceKwa hiyo mke wangu kama sijazaa naye, simjui?
Sio Mimi mkuu ni biblia ndio imesema hivyohili nalo neno
Kwa hiyo mke wangu kama sijamzalisha, simjui?
Akaa mi ninae Wa kujuana nae na tumeshazaaNjoo nikujue..tunaweza zaa Rais
Tafuta Wa kujuana nae kisha utapata jibu
Nimejiuliza namna ulivyowaza nikakosa jibu
Hahaha, nina mpango wa kua padri ujue.Tafuta Wa kujuana nae kisha utapata jibu
Sawa mkuu nenda kanywe divaiHahaha, nina mpango wa kua padri ujue.
Uje tunywe wote basi.Sawa mkuu nenda kanywe divai