Hivi kuna siku jiji la Dodoma(makao makuu TZ) litakuwa bora kuliko majiji yaliyotangulia kama Mbeya, Dsm, Arusha, Tanga na Mwanza.?

BabaMorgan

JF-Expert Member
Dec 18, 2017
4,040
10,460
Majiji yaliyotangulia yanazidi kupewa kipaumbele katika ujenzi wa miundombinu mikubwa hapa TZ kama flyovers, SGR miundombinu hiyo inazidi kufanya hayo majiji kuzidi kuwa bora licha ya Dodoma kupewa kipaumbele kama makao makuu ya serikali ila spidi yake ya maendeleo ni kama kinyonga.

Kuna uwezekano Dodoma kuwa jiji la mwisho kwa ubora kulinganisha na majiji mengine nchini Tanzania.
 
Lazima tujiulize nini kinafanya jiji likue? Kwa Africa ni uwekezaji wa serikali mfano pale Kenya, Mombasa ndio gateway yenye bandari na utalii was pwani, lakini haiifikii Nairobi kwa sababu ya uwekezaji was serikali katika mji mkuu. Capetown na Johannesburg hivyo hivyo.
Sasa kwa Tanzania, Dar ilikuwa na faida zote mbili na sasa zimetenganishwa, sasa no mtazamo wangu kuwa hili in suala la muda tu kabla Dodoma haijachukua Driving seat.
 
Kuna Majiji mengine hapo Nijina tu Jiji
Mbeya na Tanga Kiukweli Nimajina tu hakuna kitu kabisa
Dodoma Kwakasi iliopo sasa Nimuda mfupi sana haitakuwa kwenye ligi na Mbeya
Dodoma inakuja moto na hata sasa Dodoma inamajengo mazuri mara 10 ya Mbeya
Dodoma huwezi kufananisha na Tanga,Tanga ina bandari imepakana na dunia nzima,na ni Bandari inayosafirisha mafuta na gas duniani na kupokea mafuta na gas kutoka duniani kote.Na kupokea mizigo na kusafirisha duniani kote.Na ni jiji linalojengeka,kando ya mjini kwa kazi ya ajabu.Mbali ya kuwa na Ofisi ya mamlaka ya Bandari yenye jumba refu,linaloanzia baharini,kila wiki mara mbili kuna meli kubwa na boat navmajahazi yanayosafirisha bidhaa za wakulima kuelekea Zanzibar na visiwa kadhaa jirani.Mbali na bidhaa za baharini,zinasafirishwa kwenda mikoa mbali mbali na nchi jirani,kwenye viwanda na mahotel ya kitalii.Mikoa ya kaskazini,inaitegemea Bandari ya Tanga,kwa mafuta,mafuta ya mikoa hiyo ya kaskazini yanachukuliwa kutoka katika depot za mkoa wa Tanga.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Kwa hali ya jiji la Mbeya haitachukua muda mrefu kufunikwa na Dodoma, lakini kwa sababu za kijigrafia Dodoma itapata wakati mgumu kufunika umaarufu wa majiji ya Dsm na Arusha.
Uwekezaji kwenye sekta ya usafiri wa Bahari, Uwekezaji wa viwanda unalifanya jiji la Dsm litambe kwa miaka na miaka ijayo.
Jiji la Arusha nalo litang'ara sana kutokana na sekta ya utalii inayozidi kuimarika siku hadi siku.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Baada ya miaka si chini ya 10 itaipita mbeya na tanga, ila Arusha labda miaka 40, Mwanza miaka 70, Dar miaka 907
dodoma ina nafasi nzuri sana ya kuendelea tena kwa speed sana kuizid hata dar es salaam. Ila kinachoifanya dodoma sasa hivi isinyanyuke ni kutokana na mazingira halisi ya kiuchumi yanayoendelea sasa hivi
Kingine sisi kama watanzania huwa hatuzion fursa ila tunasubiri fursa zije ndo tianze kuigana.
Wafanyakazi wa mawazira tu waliohamia dodoma kwa sasa, wameleta utofauti mkubwa sana na kuna uhitaji mkubwa sana wa bidhaa nyingi sana dodoma kuliko hata hiyo mbeya au tanga kwa sasa.
Tukichukulia mfano tu wa nyumba za kuishi dodoma sasa hivi niadimu sana kuliko hata hiyo mbeya na au mwanza kwa hiyo kuna ujenzi mkubwa sana dodoma hasa kwa nyumna za kuishi.
Na laiti kama mzee magu angeruhusu kampuni za binafsi zijenge majenge ya wizara badala ya jkt, kungekuwa na mzunguko mkubwa sana ambao ungepush wawekezaji wengi sana dodoma.
Mwanza ilinyanyuka kwa sababu ya samaki tu na mambo mengine madogo madogo. Mbeya hata kwa kuangalia hakuna movement kubwa zaid ya kilimo tu. Tanga bandar, arusha imeendelea sabab ya utalii. Dar es salaam zaid ya bandari na kuwa kama mji mkuu kwa miaka mingi ambayo ndo ilivutia wingi wa watu kuingia dar , hivyo kutengeneza soko kubwa sana kwa karibia kila kitu. Hivyo viwanda vingi vikajengwa dar. Lakin kile kitengo cha kuhamisha wizara na ofisi nyingi dodoma tuseme kwa sasa kama wastani wa watumishi 20000 imeleta impact kubwa sana. Hapo bado hatujazungumzia mashirika mengine kama
Trc,ttcl,tba,tbs,sumatra, tanesco na tuseme mashirika yote ya kiserikali tutarajie watumishi zaid ya 100000 kuingia dodoma. Tukichukulia wastan wa kila mtumishi abebe wategemez 3 tunapata jumla ya watu 300000 ambao wataingia dodoma baada ya wizara. Bado kuna wafanyabiashara ambao watalazimika kuwekeza kutokana kuwepo na soko kubwa .
Kwa hiyo kwa miaka mitano ijayo au kumi ijayo tutegemee zaidi ya watu milion. Hivyo dodoma inakuwa sana sasa hivi kwa speed lakin hali ya ukata ulioikumba nchi nzima hatuwezi liona. Pia dodoma ni center ya karibia kila mkoa wale walikokuwa wanafunga safar kufuata huduma dar sasa hiv watalazimika kwenda dodoma. Wakati mbeya zaid ya kipind cha mavuno au malori yanayopitiliza kwenda tinduma hakuna jipya jingine la kuweza ongeza muingiliano kwa sasa labda huko mbelen ambapo tutabadilisha sheria zetu hivyo kuwafanya wale wazambia na wamalawi waliokuwa wanafunga safar kwenda south waje wafanye manunuzi mbeya
 
dodoma ina nafasi nzuri sana ya kuendelea tena kwa speed sana kuizid hata dar es salaam. Ila kinachoifanya dodoma sasa hivi isinyanyuke ni kutokana na mazingira halisi ya kiuchumi yanayoendelea sasa hivi
Kingine sisi kama watanzania huwa hatuzion fursa ila tunasubiri fursa zije ndo tianze kuigana.
Wafanyakazi wa mawazira tu waliohamia dodoma kwa sasa, wameleta utofauti mkubwa sana na kuna uhitaji mkubwa sana wa bidhaa nyingi sana dodoma kuliko hata hiyo mbeya au tanga kwa sasa.
Tukichukulia mfano tu wa nyumba za kuishi dodoma sasa hivi niadimu sana kuliko hata hiyo mbeya na au mwanza kwa hiyo kuna ujenzi mkubwa sana dodoma hasa kwa nyumna za kuishi.
Na laiti kama mzee magu angeruhusu kampuni za binafsi zijenge majenge ya wizara badala ya jkt, kungekuwa na mzunguko mkubwa sana ambao ungepush wawekezaji wengi sana dodoma.
Mwanza ilinyanyuka kwa sababu ya samaki tu na mambo mengine madogo madogo. Mbeya hata kwa kuangalia hakuna movement kubwa zaid ya kilimo tu. Tanga bandar, arusha imeendelea sabab ya utalii. Dar es salaam zaid ya bandari na kuwa kama mji mkuu kwa miaka mingi ambayo ndo ilivutia wingi wa watu kuingia dar , hivyo kutengeneza soko kubwa sana kwa karibia kila kitu. Hivyo viwanda vingi vikajengwa dar. Lakin kile kitengo cha kuhamisha wizara na ofisi nyingi dodoma tuseme kwa sasa kama wastani wa watumishi 20000 imeleta impact kubwa sana. Hapo bado hatujazungumzia mashirika mengine kama
Trc,ttcl,tba,tbs,sumatra, tanesco na tuseme mashirika yote ya kiserikali tutarajie watumishi zaid ya 100000 kuingia dodoma. Tukichukulia wastan wa kila mtumishi abebe wategemez 3 tunapata jumla ya watu 300000 ambao wataingia dodoma baada ya wizara. Bado kuna wafanyabiashara ambao watalazimika kuwekeza kutokana kuwepo na soko kubwa .
Kwa hiyo kwa miaka mitano ijayo au kumi ijayo tutegemee zaidi ya watu milion. Hivyo dodoma inakuwa sana sasa hivi kwa speed lakin hali ya ukata ulioikumba nchi nzima hatuwezi liona. Pia dodoma ni center ya karibia kila mkoa wale walikokuwa wanafunga safar kufuata huduma dar sasa hiv watalazimika kwenda dodoma. Wakati mbeya zaid ya kipind cha mavuno au malori yanayopitiliza kwenda tinduma hakuna jipya jingine la kuweza ongeza muingiliano kwa sasa labda huko mbelen ambapo tutabadilisha sheria zetu hivyo kuwafanya wale wazambia na wamalawi waliokuwa wanafunga safar kwenda south waje wafanye manunuzi mbeya
Hakuna jiji,litakolishinda jiji lenye Bandari,ukiangalia Tanga inajiendeleza wenyewe na limefikia katika kiwango cha juu kabisa.Tanga usiitizame Tanga yanywe,itizame na wilaya zake,fursa za kiuchumi Tanga ni kubwa sana,kwenye kilimo na uvuvi,kwa mfano Tanga,ndio inayosafirisha bidhaa za kilimo kama viazi,vitunguu saumu,vitunguu maji,nk kwenda visiwa vya Zanzibar,Comoro,Madagascar,Usheli sheli,kwa hiyo Tanga haitegemei kuja watu waishi Tanga,ndio kuwe na mzunguko,ila mzunguko wake ni wakusafirisha bidhaa nje ya jiji hilo.Ukija kwenye uvuvi,kuna biashara kubwa ya kusafirisha mazao ya baharini,kwenda nchi zenye viwanda vya samaki,Pweza nk.Ukija kwenye mkonge,unasafirishwa kwa kutengeneza gipsum za kisasa zinazotambulika kimataifa.Kwa hiyo jiji lolote lisilo na Bandari,haliwezi kufikia uchumi wa jiji lenye Bandari kwa fursa za kibiashara.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Hakuna jiji,litakolishinda jiji lenye Bandari,ukiangalia Tanga inajiendeleza wenyewe na limefikia katika kiwango cha juu kabisa.Tanga usiitizame Tanga yanywe,itizame na wilaya zake,fursa za kiuchumi Tanga ni kubwa sana,kwenye kilimo na uvuvi,kwa mfano Tanga,ndio inayosafirisha bidhaa za kilimo kama viazi,vitunguu saumu,vitunguu maji,nk kwenda visiwa vya Zanzibar,Comoro,Madagascar,Usheli sheli,kwa hiyo Tanga haitegemei kuja watu waishi Tanga,ndio kuwe na mzunguko,ila mzunguko wake ni wakusafirisha bidhaa nje ya jiji hilo.Ukija kwenye uvuvi,kuna biashara kubwa ya kusafirisha mazao ya baharini,kwenda nchi zenye viwanda vya samaki,Pweza nk.Ukija kwenye mkonge,unasafirishwa kwa kutengeneza gipsum za kisasa zinazotambulika kimataifa.Kwa hiyo jiji lolote lisilo na Bandari,haliwezi kufikia uchumi wa jiji lenye Bandari kwa fursa za kibiashara.

Sent using Jamii Forums mobile app
Kuwa na bandari tu sio kigezo cha kuwa ndo kunaweza kuwa na maendeleo kuliko miji mingine. Tanga bandari imekuwepo miaka hata kabla hatujaijua arusha wala mwanza, lakin leo hii tanga haioni ndani kwa mwanza wala arusha. Kumbuka pia dodoma kuna plan ya kuwa na bandari kavu. Nairobi ni zaid ya kilometre 400 kuliko nairobi lakin inaendelea kwa kasi kuliko hata hiyo mombasa. Tanga zaid ya bandar sidhani kuna kingine kitakachovutia wawekezaji. Kumbuka wawekezaji wanaangalia soko. Johannesburg ni mji wa kibiashara lakin bandar iko mbali kabisa. Je nan ataenda kujenga labda ofisi au hospitali za maana kama hakutakuwa na population au watu wa wakuwatibu?
Nan ataweka kiwanda labda cha sembe kama atahitajika kusafirisha maili kadhaa ili kupata soko chanzio?
Kinaxhopelekea kitu flani kijengwe ni ule uhitaji. bandar ya tanga haina uwezo hata wa kuwa na wafanyakazi 30000 ambao hata ukiwapa mbagala tu hawatoshi.
Isitoshe kuna clearance nyingine kwa mfano ambazo zinahusiana na wizara au tra mtu anaweza clear akiwa hata dodoma kwa sabab kutakuwa na icd na akarudia dodoma kwenda kigali au kampala.
nadhani kwa mtu ambaye alikuwa amepita miaka mitano nyuma ukamwambia dodoma imebadilika sana sasa hiv atapinga ila ukweli ni kuwa dodoma pamoja na kuwa na challenge za kiuchumi inabadilika sana.dsm baloz zikihama, na makao makuu ya makampuni ya huduma kama mabenk na bima hakuna kitu kitachoweza kuipush dsm kwa speed kama zaman zaid ya kuwa pitishio la mizigo tu
chukulia mfano tu, wakat dar karibia kila siku majengo yanakosa wateja dodoma ofisi hazitoshelez hata kidogo inabid kupanga udom. Hizo ni wizara tu ndo zimehama. Tusiangalie barabara hizo zitakuja baada ya muingiliano kuwa mkubwa.
 
Kuwa na bandari tu sio kigezo cha kuwa ndo kunaweza kuwa na maendeleo kuliko miji mingine. Tanga bandari imekuwepo miaka hata kabla hatujaijua arusha wala mwanza, lakin leo hii tanga haioni ndani kwa mwanza wala arusha. Kumbuka pia dodoma kuna plan ya kuwa na bandari kavu. Nairobi ni zaid ya kilometre 400 kuliko nairobi lakin inaendelea kwa kasi kuliko hata hiyo mombasa. Tanga zaid ya bandar sidhani kuna kingine kitakachovutia wawekezaji. Kumbuka wawekezaji wanaangalia soko. Johannesburg ni mji wa kibiashara lakin bandar iko mbali kabisa. Je nan ataenda kujenga labda ofisi au hospitali za maana kama hakutakuwa na population au watu wa wakuwatibu?
Nan ataweka kiwanda labda cha sembe kama atahitajika kusafirisha maili kadhaa ili kupata soko chanzio?
Kinaxhopelekea kitu flani kijengwe ni ule uhitaji. bandar ya tanga haina uwezo hata wa kuwa na wafanyakazi 30000 ambao hata ukiwapa mbagala tu hawatoshi.
Isitoshe kuna clearance nyingine kwa mfano ambazo zinahusiana na wizara au tra mtu anaweza clear akiwa hata dodoma kwa sabab kutakuwa na icd na akarudia dodoma kwenda kigali au kampala.
nadhani kwa mtu ambaye alikuwa amepita miaka mitano nyuma ukamwambia dodoma imebadilika sana sasa hiv atapinga ila ukweli ni kuwa dodoma pamoja na kuwa na challenge za kiuchumi inabadilika sana.dsm baloz zikihama, na makao makuu ya makampuni ya huduma kama mabenk na bima hakuna kitu kitachoweza kuipush dsm kwa speed kama zaman zaid ya kuwa pitishio la mizigo tu
chukulia mfano tu, wakat dar karibia kila siku majengo yanakosa wateja dodoma ofisi hazitoshelez hata kidogo inabid kupanga udom. Hizo ni wizara tu ndo zimehama. Tusiangalie barabara hizo zitakuja baada ya muingiliano kuwa mkubwa.[/QUOTETanga sio bandari tu,ukiangalia upande wa zao la kibiashara la mkonge(green gold),jinsi uwekezaji wake unavyoshika kasi,hakuna mkoa utakaoifikia Tanga,hasa baada ya serekali kuyachukuwa mashamba waliyopewa waekezaji,walioshindwa kuyaendeleza.Hivi sasa mashamba yako mikononi mwa waekezaji wengine.
 
Back
Top Bottom