Hivi kuna Sheria inayolinda miradi iliyoanzishwa na Rais John Magufuli?

Konseli Mkuu Andrew

JF-Expert Member
May 10, 2013
740
855
Salaam wakuu.

Niende moja kwa moja kwenye mada husika.

Hivi kuna sheria iliyotungwa na Bunge la jamhuri ya muungano wa Tanzania katika kulinda miradi mbali mbali iliyoanzishwa na Rais wa awamu ya tano Dkt. John Pombe Joseph Magufuli?

Maana miradi ni mingi imeanzishwa na Serilikali sasa cha kujiuliza kuna sheria ya kuilinda ili ata Raisi ajaye asiweze kuiua au ata kuivuruga kwa makusudi ya kutoiendeleza?

Maana kama kungekuwa na sheria naamini nisingeweza kusikia wana CCM wakisema tumchague tena awamu hii Rais ili aendeleze ile miradi aliyoianzisha.

Kama hakuna sheria basi tutengeneze mara moja maana tunaweza pata Rais mwingine miaka ijayo akauza ndege zote ata kuiua miradi ya SGR alafu tukaanza tena upya.

Mfano mzuri ni hapo juzi CHADEMA waliongeza beti katika wimbo wa taifa na alipoulizwa akasema hakuna Sheria ya kulinda Wimbo wa Taifa.
 
Tarehe 29 oktoba kitaitishwa kikao cha dahrura kuamua hatima ya miradi hii
 
Hakuna sheria ya kulinda hiyo miradi na kuna mradi ule wa daraja la Kigongo busisi ni unatakiwa umpeleke jela kwa matumizi mabaya ya madaraka. Unaenda kujenga daraja la mabilioni kupeleka maeneo ambayo kiuhalisia hayastahili!
 
Hakuna sheria ya kulinda hiyo miradi na kuna mradi ule wa daraja la Kigongo busisi ni unatakiwa umpeleke jela kwa matumizi mabaya ya madaraka. Unaenda kujenga daraja la mabilioni kupeleka maeneo ambayo kiuhalisia hayastahili!
#NI YEYE
 
Hakuna sheria ya kulinda hiyo miradi na kuna mradi ule wa daraja la Kigongo busisi ni unatakiwa umpeleke jela kwa matumizi mabaya ya madaraka. Unaenda kujenga daraja la mabilioni kupeleka maeneo ambayo kiuhalisia hayastahili!

..mimi nalia na ikulu mpya ya chamwino.

..ikulu aliyotuachia Mwalimu Nyerere inatosha.

..mapesa wanayotaka kuyatumia ni bora yakajenge miradi ya kilimo cha umwagiliaji, au wajenge viwanda.
 
..mimi nalia na ikulu mpya ya chamwino.

..ikulu aliyotuachia Mwalimu Nyerere inatosha.

..mapesa wanayotaka kuyatumia ni bora yakajenge miradi ya kilimo cha umwagiliaji, au wajenge viwanda.
Fact, unawekezaje kwenye project isiyokuwa na return kwa nchi maskini kama yetu huku ukiacha wakulima wakilia kwa miundo mbinu duni ya kilimo?
 
Mleta mada unakosea, miradi ya taifa la Tanzania SIYO miradi ya Magufuli.

Miradi ya Magufuli ni hoteli zake anazomiliki.

Miradi ya taifa haimilikiwi na mtu, hivyo siyo miradi ya Magufuli.
Mbona pale Kawe majengo miaka 5 sasa hayaendelezwi?

Hiyo ilikuwa miradi ya nchi au ya rais?
 
Salaam wakuu.

Niende moja kwa moja kwenye mada husika.

Hivi kuna sheria iliyotungwa na Bunge la jamhuri ya muungano wa Tanzania katika kulinda miradi mbali mbali iliyoanzishwa na Rais wa awamu ya tano Dkt. John Pombe Joseph Magufuli?

Maana miradi ni mingi imeanzishwa na Serilikali sasa cha kujiuliza kuna sheria ya kuilinda ili ata Raisi ajaye asiweze kuiua au ata kuivuruga kwa makusudi ya kutoiendeleza?

Maana kama kungekuwa na sheria naamini nisingeweza kusikia wana CCM wakisema tumchague tena awamu hii Rais ili aendeleze ile miradi aliyoianzisha.

Kama hakuna sheria basi tutengeneze mara moja maana tunaweza pata Rais mwingine miaka ijayo akauza ndege zote ata kuiua miradi ya SGR alafu tukaanza tena upya.

Mfano mzuri ni hapo juzi CHADEMA waliongeza beti katika wimbo wa taifa na alipoulizwa akasema hakuna Sheria ya kulinda Wimbo wa Taifa.
😂😂😂😂😂😂😂 mkuu mbona kama umeshajua yajayo????

Usihofu Raisi Tundu Antiphas Lissu atalinda miradi yote na kuimalizia. Lissu hana shida na miradi ana shida ya kujenga mfumo imara wa sheria za nchi zinazoifanya serikali na viongozi wake kuwajibika moja kwa moja kwa wananchi, ana shida ya katiba bora ya wananchi inayoweka mazingira bora kwa maendeleo ya watu na vitu, ana shida ya kurekebisha elimu yetu na Sera zetu za uchumi ili kila mwananchi anufaike na kazi yake. Yeye ni uhuru na kazi
 
Back
Top Bottom