Hivi kuna sababu zipi zilizopelekea kushindwa kwa India katika vita ya 1962

Dabby Jr

JF-Expert Member
Apr 16, 2018
324
259
Hbr za mida Wakuu,

Hivi kuna sababu zipi zilizopelekea kushindwa kwa India katika vita ya 1962.Kwa sababu ya Mpaka kati ya China na India, Japo mgogoro bado Upo chini chini, mwenye sababu anisaidie maana nimefuatilia migogoro ya mipaka mingi sana.

Soo huwa sielewi kwanini India alishindwa vita iyoo?!!

Karibuni wakuu tulidadafue hili jambo..
tapatalk_1523354400368.jpeg
 
U

Uandishi wako waki face book uwe Na nidhamu Dogo unapo taka kupewa maalifa. Ngoja wanakuja
Sawa mkuu hakna xhida,japo ungenisaidia kidogo kupata sabab na sio kuzba nafac za akna joserevest,but ucwaze cana mm n mtu wa utani mwingi
 
Duh jamaa unaandikaje?Jitahidi kuandika vizuri,acha kutumia x badala ya s.
"Cana" kwenye sentesi yako ina maana gani?
Safi san mkuu ujue watu wengi hawajui maan ya ufupisho ila wanaleta mbwembwe kweny lugha
Ua namaind mwanaume kweny "s" anaweka "x" dah yaan sijui namuonaje

Mfano sasa eti xaxa ,,,apo kafupisha nn??

Sana eti cana duh???

Ila poa kila mtu afight with his/her weather
 
nahis amitha bavhan alikuwa hajazaliwa bado ndio maana vita ilikuwa ngumu kwa india [HASHTAG]#natania[/HASHTAG] tuu
 
Safi san mkuu ujue watu wengi hawajui maan ya ufupisho ila wanaleta mbwembwe kweny lugha
Ua namaind mwanaume kweny "s" anaweka "x" dah yaan sijui namuonaje

Mfano sasa eti xaxa ,,,apo kafupisha nn??

Sana eti cana duh???

Ila poa kila mtu afight with his/her weather
Hii inadhihirisha mtu huyu kama sio hakufaulu somo la kiswahili basi mbwembwe za ufupisho wa maneno zimempita kushoto
 
Popote ulipotumia X badala ya S rudia kuziondoa halafu tumia lugha inayoeleweka upo "JAMII INTELLIGENCE" lasivyo mada yako ni utoto haupo serious!!!..SIO OMBI
Hakuna,nadhani haitajirudia tena
 
Safi san mkuu ujue watu wengi hawajui maan ya ufupisho ila wanaleta mbwembwe kweny lugha
Ua namaind mwanaume kweny "s" anaweka "x" dah yaan sijui namuonaje

Mfano sasa eti xaxa ,,,apo kafupisha nn??

Sana eti cana duh???

Ila poa kila mtu afight with his/her weather
Marekebisho nimeyapokea mkuu
 
Hbr za mida Wakuu,

Hivi kuna sababu zipi zilizopelekea kushindwa kwa India katika vita ya 1962.Kwa sababu ya Mpaka kati ya China na India,Japo mgogoro bado Upo chini chini,mwenye sababu anisaidie maana nimefuatiria migogoro ya mipaka mingi cana.

Soo huwa sielew kwa nini India alixhindwa vita iyoo?!!

Karibuni wakuu turidadafue hili jambo..

Huu uandishi wa mininga sana huu.
 
FUTA UZI WAKO
afu rudia kuandika vizuri kabisa na kwa heshima kama mtu anaehitaji kweli Msaada kisha usubiri uone majibu yake utakayopata na hutojuta kuwa hapa jukwaani ni hayo tu chief
 
Jamani bado ni mtoto huyu haaaaaa!!!!! JF kwa msimamo (hatupendagi mambo ga kujuana hapa) nyodo peleka huko huko fasibuku
 
1 Reactions
Reply
Back
Top Bottom