Hivi kuna nchi nyingine duniani ambayo watu wake wana entertain mikopo kama Tanzania?

Msitari wa pambizo

JF-Expert Member
Sep 25, 2014
2,879
4,880
Direct to the topic...

Wale ambao mmesha tembea vi nchi kadhaa pengine mnaweza kuwa na experience kidogo ambayo mnaweza ku share nasi hapa.

Jamani nchi yetu hii watu wana entertain mikopo sijapata kuona, yani taasisi za mikopo kila kona tena kwa riba ya juu kabisa, achana na vile vibomu vya rafiki na rafikiye... Hapo hutazungumzia taasisi za mawasaliano, yani mtu anakopa mpaka vocha? This is too much... Sitaki kuamini kama kuna nchi ambayo inaweza kuwa kama Tanzania...

Na ndio maana hata michezo ya kubahatisha inakuwa na wateja sana maana watu naona kama wanapenda vya bure....

Watanzania tumezidi kukopa, yani kati ya watu kumi basi nane wana madeni, kama sio kwa mtu basi kwa taasisi au hata nipige tafu. Why lakini?
 
Hayo maswali nenda pale feri Kuna jumba jeupe utamkuta mfugaji mmoja katoka seatle muulize atakuwa na majibu mazuri/happy blue monday
 
Direct to the topic...

Wale ambao mmesha tembea vi nchi kadhaa pengine mnaweza kuwa na experience kidogo ambayo mnaweza ku share nasi hapa.

Jamani nchi yetu hii watu wana entertain mikopo sijapata kuona, yani taasisi za mikopo kila kona tena kwa riba ya juu kabisa, achana na vile vibomu vya rafiki na rafikiye... Hapo hutazungumzia taasisi za mawasaliano, yani mtu anakopa mpaka vocha? This is too much... Sitaki kuamini kama kuna nchi ambayo inaweza kuwa kama Tanzania...

Na ndio maana hata michezo ya kubahatisha inakuwa na wateja sana maana watu naona kama wanapenda vya bure....

Watanzania tumezidi kukopa, yani kati ya watu kumi basi nane wana madeni, kama sio kwa mtu basi kwa taasisi au hata nipige tafu. Why lakini?
Mbona TZ hata hatupati mikopo nchi za wenzetu hadi magari unachukua kwa mkopo, nyumba kwa mkopo, shopping kwa mkopo ila riba nafuu.
Sisi huku taasisi kukupa mkopo Loan officer anataka kitu kidogo kama vile anakupa msaada wakati ndo kazi yake kutafuta wakopaji. Hadi simu wanapata kwa mkopo kupitia Data Plan. Ndiyo maana maisha yao rahisi maana vitu vingi hawalipi kwa cash wanalipia kidogo kidogo. Na ndiyo maana unasikia vitu kama credit cards
 
Direct to the topic...

Wale ambao mmesha tembea vi nchi kadhaa pengine mnaweza kuwa na experience kidogo ambayo mnaweza ku share nasi hapa.

Jamani nchi yetu hii watu wana entertain mikopo sijapata kuona, yani taasisi za mikopo kila kona tena kwa riba ya juu kabisa, achana na vile vibomu vya rafiki na rafikiye... Hapo hutazungumzia taasisi za mawasaliano, yani mtu anakopa mpaka vocha? This is too much... Sitaki kuamini kama kuna nchi ambayo inaweza kuwa kama Tanzania...

Na ndio maana hata michezo ya kubahatisha inakuwa na wateja sana maana watu naona kama wanapenda vya bure....

Watanzania tumezidi kukopa, yani kati ya watu kumi basi nane wana madeni, kama sio kwa mtu basi kwa taasisi au hata nipige tafu. Why lakini?

Watanzania tunaonekana tunakopa sana kwa sababu mifumo yetu haituruhusu kuchukua bidhaa na kulipa kidogokidogo kama nchi nyingi za wenzetu.

Hata huduma za kifedha nchi hii zinamuangalia zaidi wafanyabiasha na viongozi na si wananchi wa kawaida.

Tanzania inakuladhimu uende kwenye taasisi ya fedha ukope ndiyo ukanunue bidhaa au kupata huduma unayohitaji tofauti na nchi za wenzetu.

Nchi zingine watu wananuka mikopo balaa, nyumba kakopa, gari kakopa, nguo kakopa, chakula kakopa mpaka mbunye wanakopeshana!!

Yaan ukiamka asubuhi hata kama huna hela bado una uwezo wa kufanya chochote ukalipa kidogo kidogo, ngoma kwetu huku ukiamka huna hela hiyo siku imekula kwako mazima!!
 
Jamaa we bwana,sisi hatujafika hata kiduchu cha wanaokopa, kwanza lazima ujue mabenki kukopesha ndo biashara yao kubwa, kwahiyo fanya tafiti uliza hata google nchi za wenzetu zina mabenki mangapi, ukipata idadi jua hizo nchi watu wake ni wakopaji wazuri mno....
 
secta ya mikopo Tz bado ni ndogo mno na haifanyi kazi vizuri. Tanzania watu hawakopi sana kwani ni vigumu kupata mikopo, ukienda nchi zilizoendelea kimikopo watu hukopa simu, magari, nyumba, mavazi na hata huduma za afya na starehe! Eg Namibia kila gari au nyumba imekopwa benki.
 
Mbona TZ hata hatupati mikopo nchi za wenzetu hadi magari unachukua kwa mkopo, nyumba kwa mkopo, shopping kwa mkopo ila riba nafuu.
Sisi huku taasisi kukupa mkopo Loan officer anataka kitu kidogo kama vile anakupa msaada wakati ndo kazi yake kutafuta wakopaji. Hadi simu wanapata kwa mkopo kupitia Data Plan. Ndiyo maana maisha yao rahisi maana vitu vingi hawalipi kwa cash wanalipia kidogo kidogo. Na ndiyo maana unasikia vitu kama credit cards
Mkuu mim naona kama hapa kwetu mikopo inawapeleka watu pabaya mpaka kuuza nyumba au asset yoyote.... Yani unakuta mtu anafanya kazi na hana maendeleo.. Once you ask him/her anakwambia analipa mkopo
 
secta ya mikopo Tz bado ni ndogo mno na haifanyi kazi vizuri. Tanzania watu hawakopi sana kwani ni vigumu kupata mikopo, ukienda nchi zilizoendelea kimikopo watu hukopa simu, magari, nyumba, mavazi na hata huduma za afya na starehe! Eg Namibia kila gari au nyumba imekopwa benki.
Mkuu unataka kuniaminisha kwamba mkopo ni sehemu ya maisha ya kila siku
 
Wenzetu walioendelea kila kitu wanachukua kwa mkopo kuanzia simu, gari, nyumba n. K.. Tembea ujioneee.. Vitu vichache sana mtu analipa cash kwa wenzetu.
 
Watanzania tunaonekana tunakopa sana kwa sababu mifumo yetu haituruhusu kuchukua bidhaa na kulipa kidogokidogo kama nchi nyingi za wenzetu.

Hata huduma za kifedha nchi hii zinamuangalia zaidi wafanyabiasha na viongozi na si wananchi wa kawaida.

Tanzania inakuladhimu uende kwenye taasisi ya fedha ukope ndiyo ukanunue bidhaa au kupata huduma unayohitaji tofauti na nchi za wenzetu.

Nchi zingine watu wananuka mikopo balaa, nyumba kakopa, gari kakopa, nguo kakopa, chakula kakopa mpaka mbunye wanakopeshana!!

Yaan ukiamka asubuhi hata kama huna hela bado una uwezo wa kufanya chochote ukalipa kidogo kidogo, ngoma kwetu huku ukiamka huna hela hiyo siku imekula kwako mazima!!
Hiyo ya mbunye natamani ije TZ
Kuna watu watakua na madeni kumzidi "M/kiti wa yanga"
 
Back
Top Bottom