herman joshua
JF-Expert Member
- Dec 30, 2018
- 1,962
- 3,189
ZoteInsue upi unauzidi kwangaru
ZoteInsue upi unauzidi kwangaru
Naulizia tu, Mana sioni kiukweli kabisa, na siongelei views hapa
Hapa ni sawa na kumlinganisha Simba ya sasa na mwadui FC. Diamond imepita miaka na miaka anabadilishiwa tu wa kushindanishwa nae but inafika muda anayelinganishwa nae anapotea Diamond anabaki pale juu.Kondeboy anamtesa Domo.
Kwan we mtoa mada umemjua lin diamond, tuanzie hapa...Naulizia tu, Mana sioni kiukweli kabisa, na siongelei views hapa
Hahaha African beauty unafananisha na national anthem kwangwaru, umepoteaAfrican beauty unaujua?
hapo kwenye ukimwona na ntampata wapi umemaliza kabisa mkuuHv kwangwaru n nzuri kuliko ntampata wapi, ukimuona, ntakukumbuka/I miss you,African beauty, Marry you,Dance ft p squere, number one,shaku ft ten na nyingine nyingii
Humjui diamond ww
Naulizia tu, Mana sioni kiukweli kabisa, na siongelei views hapa
Ukimwona mzuri sanaHv kwangwaru n nzuri kuliko ntampata wapi, ukimuona, ntakukumbuka/I miss you,African beauty, Marry you,Dance ft p squere, number one,shaku ft ten na nyingine nyingii
Humjui diamond ww
Ukimuona (ngoma hii kwangu uwa haizeeki)Naulizia tu, Mana sioni kiukweli kabisa, na siongelei views hapa
Hv kwangwaru n nzuri kuliko ntampata wapi, ukimuona, ntakukumbuka/I miss you,African beauty, Marry you,Dance ft p squere, number one,shaku ft ten na nyingine nyingii
Humjui diamond ww
Hakuna Na kwangwaru niya harmonize jama kajipachika tuNaulizia tu, Mana sioni kiukweli kabisa, na siongelei views hapa
'Hakuna Na kwangwaru niya harmonize jama kajipachika tu
Itakuwa n mtazamo wako, hvyo sikupingiZote ulizozitaja hazifui dafu na kwangaru
Inaonekana hata ulichoandika hujuiNaulizia tu, Mana sioni kiukweli kabisa, na siongelei views hapa
Hii nyimbo ni ya HARMONIZE. Mkuu sio MondNaulizia tu, Mana sioni kiukweli kabisa, na siongelei views hapa