Hivi kuna mtumishi wa umma aliyepokea barua ya kupandishwa daraja mpaka sasa?

Habari ndiyo hii Sasa. Ukiona boom limepaa June 23 Basi dai barua yako
IMG_20210609_234727_713.jpg
 
Mimi halmashauri niliyoopo tulipewa barua tar 1.6.2021 na ndio tar iliyoonekana kwenye barua ,hivyo nimeanza kuhesabu kuanzia tar moja ya mwez huu ,nisipoona mabadiriko ya salary mwezi huu kwa lugha nyepesi itabidi baadae nije niandike barua ya madai hadi pale salary itakapo change .

Jambo jema Nina barua mkononi tayal,.

Pia nikutoe waswas mleta hii topic ni kwamba halmashaur yenu wako smart sana wanataka mpewe barua mkishaona mabadiriko ,ila niamini Mimi barua nchi nzima ziko tayali maana hili ni agizo na walipewa onyo kuwa kama watapata malalamiko ya watu kutopandishwa vyeo wakati wana sifa maafisa utumishi watapoteza kazi akiwemo mkurugenzi na maafisa elimu ,kwahiyo hakuna mtu wa kuzembea kwa hili na ukizingatia wakurugenz soon file lao linatoka ,hakuna mkurugenz wa kukubali kufeli dakika za lala salama ,bora atolewe kwenye ishu zingine ila sio ishu ya vyeo .

Hakuna kipindi kigumu kama hiki wanapitia maafisa utumishi yaan wako bize Zaid ya ujuavyo ,naongea haya coz nimejionea kwa macho yangu ,yaan wao na computer muda wote.
 
Mimi halmashauri niliyoopo tulipewa barua tar 1.6.2021 na ndio tar iliyoonekana kwenye barua ,hivyo nimeanza kuhesabu kuanzia tar moja ya mwez huu ,nisipoona mabadiriko ya salary mwezi huu kwa lugha nyepesi itabidi baadae nije niandike barua ya madai hadi pale salary itakapo change .

Jambo jema Nina barua mkononi tayal,.

Pia nikutoe waswas mleta hii topic ni kwamba halmashaur yenu wako smart sana wanataka mpewe barua mkishaona mabadiriko ,ila niamini Mimi barua nchi nzima ziko tayali maana hili ni agizo na walipewa onyo kuwa kama watapata malalamiko ya watu kutopandishwa vyeo wakati wana sifa maafisa utumishi watapoteza kazi akiwemo mkurugenzi na maafisa elimu ,kwahiyo hakuna mtu wa kuzembea kwa hili na ukizingatia wakurugenz soon file lao linatoka ,hakuna mkurugenz wa kukubali kufeli dakika za lala salama ,bora atolewe kwenye ishu zingine ila sio ishu ya vyeo .

Hakuna kipindi kigumu kama hiki wanapitia maafisa utumishi yaan wako bize Zaid ya ujuavyo ,naongea haya coz nimejionea kwa macho yangu ,yaan wao na computer muda wote.
Ulichokiandika ni kweli mkuu 100%.

Sent from my TECNO F3 using JamiiForums mobile app
 
Habari!
Mambo yasiwe mengi ngoja niweke mada mezani.
Hivi kuna mtumishi wa umma aliyepokea barua ya kupandishwa daraja mpaka sasa tangu tulipoahidiwa May 1, 2021?
Ndiyo zipo nyingi tu wameshapewa ambazo nina mifano hai ni zaidi ya mbili kama sijasahau na nyingine wamepandika majina ili wahusika waone kama wamo.

Hivyo zoezi linaendelea bila shida.
 
Mimi halmashauri niliyoopo tulipewa barua tar 1.6.2021 na ndio tar iliyoonekana kwenye barua ,hivyo nimeanza kuhesabu kuanzia tar moja ya mwez huu ,nisipoona mabadiriko ya salary mwezi huu kwa lugha nyepesi itabidi baadae nije niandike barua ya madai hadi pale salary itakapo change .

Jambo jema Nina barua mkononi tayal,.

Pia nikutoe waswas mleta hii topic ni kwamba halmashaur yenu wako smart sana wanataka mpewe barua mkishaona mabadiriko ,ila niamini Mimi barua nchi nzima ziko tayali maana hili ni agizo na walipewa onyo kuwa kama watapata malalamiko ya watu kutopandishwa vyeo wakati wana sifa maafisa utumishi watapoteza kazi akiwemo mkurugenzi na maafisa elimu ,kwahiyo hakuna mtu wa kuzembea kwa hili na ukizingatia wakurugenz soon file lao linatoka ,hakuna mkurugenz wa kukubali kufeli dakika za lala salama ,bora atolewe kwenye ishu zingine ila sio ishu ya vyeo .

Hakuna kipindi kigumu kama hiki wanapitia maafisa utumishi yaan wako bize Zaid ya ujuavyo ,naongea haya coz nimejionea kwa macho yangu ,yaan wao na computer muda wote.
Ukiondoa wazee ni kwamba watumishi karibu wote Tanzania wana sifa za kupanda madara. Maana watumishi wa Tanzania karibu wote waliajiriwa 2016 April kurudi nyuma.
Je, idadi ya elfu 80 inatosha kukidhi haja za watumishi ?
 
Back
Top Bottom