Elections 2015 Hivi kuna mtu mwenye akili timamu atakayempigia kura yake Magufuli na kumuacha Lowassa?

mendz

Senior Member
Dec 9, 2013
144
49
Nauliza swali hilo kwa kigezo kimoja tu nacho ni wizi wa mali ya umma.

Lowassa anatuhumiwa kwenye wizi wa Richmond bila ushahidi wowote ule mpaka sasa. Wanaomtuhumu ni walewale ambao wanaoweza kuwa na ushahidi ambao kama kweli alikwapua basi walitakiwa wawe wameshamburuta mahakamani tangu wakati ushahidi ulipopatikana kama kweli wanauchukia wizi wa mali ya umma na kama kweli wao wenyewe sio wezi.

Magufuli sio tu anatuhumiwa bali kuna ushahidi wa kitaalam uliotolewa na Mkaguzi Mkuu wa Serikali (CAG) ukimuhusisha na taarifa za uongo za kudai mabilioni ya pesa yametumika kujenga barabara wakati sio hivyo. Ni wazi kwamba Magufuli kakwapua hizo hela na hivyo HAFAI KUKAA IKULU HATA SEKUNDE MOJA.

Sasa jiulizeni hivi CCM imeshindwa kuja na mgombea wake ambaye sio mwizi? Kwa nini waweke mgombea ambaye ni mwizi kama wao wenyewe sio wezi?

Kifupi ni kwamba Magufuli atapigiwa kura tu na wezi wenzake wanaoliibia taifa hili usiku na mchana bila kunawa na hivyo kulifanya taifa hili lenye rasilimali lukuki kuendelea kuwa taifa masikini.

Watanzania wote wenye uchungu na nchi yao kama wamepewa kuchagua wa kumpigia kura kati ya mtu anayetuhumiwa tu bila ushahidi wowote na ambaye ameshathibitishwa kwamba ni mwizi na taasisi maalum yenye utaalamu kuhusu uthibitishaji huo basi watapiga kura kwa yule ambaye hajathibitishwa kwamba ni mwizi.

Je wewe kura yako iko kwa nani kati ya hawa wawili?
 
Nauliza swali hilo kwa kigezo kimoja tu nacho ni wizi wa mali ya umma.

Lowassa anatuhumiwa kwenye wizi wa Richmond bila ushahidi wowote ule mpaka sasa. Wanaomtuhumu ni walewale ambao wanaoweza kuwa na ushahidi ambao kama kweli alikwapua basi walitakiwa wawe wameshamburuta mahakamani tangu wakati ushahidi ulipopatikana kama kweli wanauchukia wizi wa mali ya umma na kama kweli wao wenyewe sio wezi.

Magufuli sio tu anatuhumiwa bali kuna ushahidi wa kitaalam uliotolewa na Mkaguzi Mkuu wa Serikali (CAG) ukimuhusisha na taarifa za uongo za kudai mabilioni ya pesa yametumika kujenga barabara wakati sio hivyo. Ni wazi kwamba Magufuli kakwapua hizo hela na hivyo HAFAI KUKAA IKULU HATA SEKUNDE MOJA.

Sasa jiulizeni hivi CCM imeshindwa kuja na mgombea wake ambaye sio mwizi? Kwa nini waweke mgombea ambaye ni mwizi kama wao wenyewe sio wezi?

Kifupi ni kwamba Magufuli atapigiwa kura tu na wezi wenzake wanaoliibia taifa hili usiku na mchana bila kunawa na hivyo kulifanya taifa hili lenye rasilimali lukuki kuendelea kuwa taifa masikini.

Watanzania wote wenye uchungu na nchi yao kama wamepewa kuchagua wa kumpigia kura kati ya mtu anayetuhumiwa tu bila ushahidi wowote na ambaye ameshathibitishwa kwamba ni mwizi na taasisi maalum yenye utaalamu kuhusu uthibitishaji huo basi watapiga kura kwa yule ambaye hajathibitishwa kwamba ni mwizi.

Je wewe kura yako iko kwa nani kati ya hawa wawili?
Wewe ndo hauko timamu!!!
 
KWELI na hakika ,
wa mguse Lowasa waone wote ccm wanaingia jela ,Malaika wema wamemuitaji Lowasa ,ila malaika waovu wanamlilia arudi kwao ,
nape alijua kusema rufaa imefungwa hadi uchaguzi umalizike,atakuwa amemweka lock up Rais Lowasa.
taharuki ni pale kaibukia upande wa adui ,
anacheza na Lowasa jeshi la Ukawa .
 
Nauliza swali hilo kwa kigezo kimoja tu nacho ni wizi wa mali ya umma.

Lowassa anatuhumiwa kwenye wizi wa Richmond bila ushahidi wowote ule mpaka sasa. Wanaomtuhumu ni walewale ambao wanaoweza kuwa na ushahidi ambao kama kweli alikwapua basi walitakiwa wawe wameshamburuta mahakamani tangu wakati ushahidi ulipopatikana kama kweli wanauchukia wizi wa mali ya umma na kama kweli wao wenyewe sio wezi.

Magufuli sio tu anatuhumiwa bali kuna ushahidi wa kitaalam uliotolewa na Mkaguzi Mkuu wa Serikali (CAG) ukimuhusisha na taarifa za uongo za kudai mabilioni ya pesa yametumika kujenga barabara wakati sio hivyo. Ni wazi kwamba Magufuli kakwapua hizo hela na hivyo HAFAI KUKAA IKULU HATA SEKUNDE MOJA.

Sasa jiulizeni hivi CCM imeshindwa kuja na mgombea wake ambaye sio mwizi? Kwa nini waweke mgombea ambaye ni mwizi kama wao wenyewe sio wezi?

Kifupi ni kwamba Magufuli atapigiwa kura tu na wezi wenzake wanaoliibia taifa hili usiku na mchana bila kunawa na hivyo kulifanya taifa hili lenye rasilimali lukuki kuendelea kuwa taifa masikini.

Watanzania wote wenye uchungu na nchi yao kama wamepewa kuchagua wa kumpigia kura kati ya mtu anayetuhumiwa tu bila ushahidi wowote na ambaye ameshathibitishwa kwamba ni mwizi na taasisi maalum yenye utaalamu kuhusu uthibitishaji huo basi watapiga kura kwa yule ambaye hajathibitishwa kwamba ni mwizi.

Je wewe kura yako iko kwa nani kati ya hawa wawili?
Mtu anayempigia mtu ambaye kwa miaka mingi amekuwa akitangazwa ni mchafu kimaadili na mpaka alitimuliwa ktk ofisi ya umma kwa kushindwa kuwa muadilifu ghafla tena baada ya kuambiwa na chama chake kuwa yeye bado hana sifa za kuwa kiongozi muadirifu then wewe unampigiaje kura mtu wa sampuli hiyo. Mtu ambaye atampigia mtu huyo namshangaa
 
Mbona unaongea kinyume? Mataahira wote na misukule ndio watakaompigia kura Lowasa

Mtoa mada amewauliza nyinyi ccm ushahidi wa kuwa Lowasa alikula pesa za richmond uko wapi na ni kiasi gani? Usituletee porojo hapa wee dada
 
Mtu anayempigia mtu ambaye kwa miaka mingi amekuwa akitangazwa ni mchafu kimaadili na mpaka alitimuliwa ktk ofisi ya umma kwa kushindwa kuwa muadilifu ghafla tena baada ya kuambiwa na chama chake kuwa yeye bado hana sifa za kuwa kiongozi muadirifu then wewe unampigiaje kura mtu wa sampuli hiyo. Mtu ambaye atampigia mtu huyo namshangaa

Acha porojo njoo na ushahidi kwamba Lowasa kaiba kiasi fulani kwenye richmond kama huna kaa kimya mnajiabisha mbele ya umma. Lowasa alisema kilichotokea ikulu na ccm imekaa kimya halafu wewe unaleta porojo tu utakuwa na akili kweli!?
 
Mi nashauri Uchunguzi ufanyike kwn Hicho kipimo cha Akili kabla ya kupima Akili zenyewe
 
Mtu anayempigia mtu ambaye kwa miaka mingi amekuwa akitangazwa ni mchafu kimaadili na mpaka alitimuliwa ktk ofisi ya umma kwa kushindwa kuwa muadilifu ghafla tena baada ya kuambiwa na chama chake kuwa yeye bado hana sifa za kuwa kiongozi muadirifu then wewe unampigiaje kura mtu wa sampuli hiyo. Mtu ambaye atampigia mtu huyo namshangaa

Kama ni kweli alikuwa hana maadili ina maana aliiba. Kwa nini Serikali iliyokuwa na ushahidi wote wa wizi wake isimburute mahakamani akaozee jela na hela ya umma irudi?

Kushindwa kwa Serikali kumburuta mwizi mahakamani ni wazi kwamba Serikali nayo ni wezi kwani huwezi kumuacha mwizi wa mali ya umma anatanua mitaani na hela ya wizi wa mabilioni bila kuchukua hatua yoyote.

Sasa kama wewe una akili timamu utawezaje kumpigia kura mgombea aliyewekwa na Serikali hiyo hiyo ya wezi?

Ndio maana nasema atakayempigia kura Magufuli basi atakuwa ama yeye mwenyewe mwizi wa mali ya umma au anastahili kupelekwa Mirembe.
 
Mbona unaongea kinyume? Mataahira wote na misukule ndio watakaompigia kura Lowasa

Usizungumze kama mtoto mdogo. Sio lazima uchangie. Kama unataka kuchangia njoo na hoja dhidi ya hoja zangu.
 
Lowassa, Ukawa watashinda zaidi ya 83%

MAGUFULI, CCM... 16%....

MTASHANGAAA OCTOBER...

Ndio mkome kutukana wananchi..na kudharau maskini wa nchi hii...!!!
 
Ushahidi wa wizi wa EL anao Dr Slaa huko mafichoni.Huo wizi Magufuli unaujua wewe tu..

Kuna kila dalili kwamba mlimtumia Slaa kumpa ushahidi wa uwongo dhidi ya Lowassa na mlikuwa mnamtumia kwa maslahi yenu akiwa kama kibaraka wenu ndani ya CHADEMA.

Kama kweli Slaa ana akili timamu kwa nini asusie kiasi hicho ujaji wa Lowassa wakati Lowassa ameshasema yeye hausiki na mwenye ushahidi apeleke mahakamani? Kwa nini Slaa asipeleke ushahidi alionao mahakamani au asiwabane wale waliompatia huo ushahidi kumburuta Lowassa mahakamani badala yake anakimbilia kumsusia Lowassa?

Sasa suala la wizi wa Magufuli liko wazi kama lilivyoanishwa na CAG. Huwezi kutunga mradi hewa wa mabilioni na ukaupatia namba hewa kama wewe sio mwizi uliyekubuhu.
 
------->>>>Endapo atatokea wa kuipigia ccm italazimu kwanza AKAPIMWE AKILI YAKE

NDANI YA CCM 75% NI TIMU LOWASA!!

Japo mie sio mwana ccm lakini kaka naona kwa mawazo haya ni kama unajitekenya mwenyewe.

Inshort ni kuwa watanzania tunataka Transformation na sio Changes.

Siku vyama vya upinzani vikijivunja na wote kuchanachana kadi zao na kuanzisha chama kimoja tu cha upinzani chenye sera na nia moja basi ujue hapo ndipo tutakapoiweza kuitoa ccm. Otherwise jua Lowasa kaja kuuwa nguvu ya upinzani. Na amekuwa akiwakatisha tamaa lakini hamjayaelewa maneno yake subirini Nov mtakavyogawana mbao
 
4 Reactions
Reply
Back
Top Bottom