britanicca
JF-Expert Member
- May 20, 2015
- 15,636
- 30,004
Tuwe wakweli Manunguniko ni mengi sana,
Kwenye Nani ni nani Mgombea wa CCM mtatiro aliwahi kusema
"Moja ya Mapungufu aliyonayo waziri Magufuli ni kufanya maamuzi ya haraka ambayo mengi huwa mazuri lakin mengine baadae uyatafakari na kusema bora ningewaza zaid kabla ya kuamua"
Sasa maamuzi hayo Mzee wetu huyu ameyapunguza lakin kwa ndani ndani bado yapo,
Ndo maana utaona anaweza kuamua jambo la kitaifa hata kama ni zuri bila kushirikiana na wenzake kama Bunge na Mahakama,
Tusishangae ipo siku anawakumbuka ambao amewahi kuwatumbua na kuwapa unaibu waziri,
Je wataukubali huo unaibu waziri?
Nahisi wengi watasema mkuu hapana,
Kwenye Nani ni nani Mgombea wa CCM mtatiro aliwahi kusema
"Moja ya Mapungufu aliyonayo waziri Magufuli ni kufanya maamuzi ya haraka ambayo mengi huwa mazuri lakin mengine baadae uyatafakari na kusema bora ningewaza zaid kabla ya kuamua"
Sasa maamuzi hayo Mzee wetu huyu ameyapunguza lakin kwa ndani ndani bado yapo,
Ndo maana utaona anaweza kuamua jambo la kitaifa hata kama ni zuri bila kushirikiana na wenzake kama Bunge na Mahakama,
Tusishangae ipo siku anawakumbuka ambao amewahi kuwatumbua na kuwapa unaibu waziri,
Je wataukubali huo unaibu waziri?
Nahisi wengi watasema mkuu hapana,