Mzukulu
JF-Expert Member
- Feb 14, 2020
- 1,401
- 2,631
Mmeshakuwa Watu wazima sasa na siyo kila Kitu hadi mtafuniwe na muwekwe wazi bali mkibahatika tu kukutana na hii Misamiati mikubwa Miwili iliyoanza Kuzoeleka na Kutumika kuwahabarisha Watanzania kuhusu Kifo cha Marehemu au Sababu ya Kifo chake tafadhali hebu muwe mnaelewa haraka.
Misamiati yenyewe ni hii Miwili.....
1. Kifo cha Marehemu kimesababishwa na Kubanwa na Mbavu
2. Utaratibu ni kwamba Marehemu atazikwa na Watu wasiozidi Kumi ( 10 ) tu
Na ukiwa ni Mtu makini sana ukishasikia Kubawa Mbavu halafu hapo hapo sijui Watu wasizidi Kumi ( 10 ) jua tayari Mchina Mkorofi wa Wuhan aitwae Koovidae Chechen Lee Yung aliyezaliwa Mwezi Disemba ( December ) mwaka 2019 ameshafanya yake zamani sana tu.
Misamiati yenyewe ni hii Miwili.....
1. Kifo cha Marehemu kimesababishwa na Kubanwa na Mbavu
2. Utaratibu ni kwamba Marehemu atazikwa na Watu wasiozidi Kumi ( 10 ) tu
Na ukiwa ni Mtu makini sana ukishasikia Kubawa Mbavu halafu hapo hapo sijui Watu wasizidi Kumi ( 10 ) jua tayari Mchina Mkorofi wa Wuhan aitwae Koovidae Chechen Lee Yung aliyezaliwa Mwezi Disemba ( December ) mwaka 2019 ameshafanya yake zamani sana tu.