Hivi kuna member mrembo humu jf kumzidi member huyu?

LICHADI

JF-Expert Member
Feb 4, 2015
4,124
11,114
86ef068971a6b345b385b5d7f048a804.jpg

55510704eed1b7e3601d860bd2b69777.jpg

bbd2882c205dbc5764be4ad161970743.jpg
3073d0f24dba83fe7ba02420cb8e1d34.jpg
037c4543939082bf4de26d3737587b0d.jpg

a3a70f69cc508786e4bcff2e565665f7.jpg

60d5e2d38d5674364a6cacb6ca34f5ff.jpg
 
Kwani tafsiri ya urembo kwenu wanaume huwa imekaaje sababu huwa saa nyingine napata ukakasi. Ni kwenye uvaaji, muonekano, kujiremba au eneo linalopigiwa picha ndio tafsiri ya urembo?

Naomba mniambie nami nipate mwanga kidogo.
 
Kwani tafsiri ya urembo kwenu wanaume huwa imekaaje sababu huwa saa nyingine linanipa ukakasi. Ni kwenye uvaaji, muonekano, kujiremba au eneo linalopigiwa picha ndio tafsiri ya urembo?

Naomba mniambie nami nipate mwanga kidogo.
Shogaangu emmyta mamboo
 
Aiseee kweli tunatofautiana...
wengine hatupendagi weupe tunapenda chocolate au wanaita maji ya kunde na ka chura kwa mbali...lakini wengine wanapenda weupe kweli tumetofautiana...
 
Mh tafsiri ya urembo inategemea na mwanaume na mwanaume lakini kwa mimi urembo ni ule wa ndani na sio nje lakini kwa mwenye mvuto kwangu huyo ndiyo mrembo wangu....kwa hiyo kila mtu na mrembo wake
 
Kwani tafsiri ya urembo kwenu wanaume huwa imekaaje sababu huwa saa nyingine napata ukakasi. Ni kwenye uvaaji, muonekano, kujiremba au eneo linalopigiwa picha ndio tafsiri ya urembo?

Naomba mniambie nami nipate mwanga kidogo.
hahahah
emmyta bwanaa,
Huyo hata kama angevaa gunia, na kujipaka mkaa bado ni kazuri tu.

Mtoa mada anataka umjibu, je yupo anaemzidi huyo?
Binafsi nasema ndio kwani wifi yako kajiunga humu wiki hii na kamzidi huyo sana tu
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom