Shadeeya
JF-Expert Member
- Mar 12, 2014
- 48,271
- 115,189
Hahahaaaaa. Haya bana Mangi naona umeamua kumtetea mleta uzi. Pia bora umemwambia kuwa wapo.hahahah
emmyta bwanaa,
Huyo hata kama angevaa gunia, na kujipaka mkaa bado ni kazuri tu.
Mtoa mada anataka umjibu, je yupo anaemzidi huyo?
Binafsi nasema ndio kwani wifi yako kajiunga humu wiki hii na kamzidi huyo sana tu
Msalimie huyo wifi yangu.