Nashukuru kwa kulitambua hiloHahaha japo paji la uso lishatengeneza ka six pack ka mbaali, ila huyu binti hafui dafu.
Kwa kuthibitisha hilo hebu tuwekee ile picha yako ya kipindi cha TANU
Ewaaah, usiongee kwa nguvu sasa, namwona Mwl. Mpya Mwifa alivyokunja sura.Kwakweli enzi zangu,huyo hangefua dafu kwangu. Nilikuwa moto wa kuotea mbali eti
Nashukuru kwa kulitambua hilo
Nikiweka hapa picha zangu za enzi za TANU vijana watanisumbua PM wakidhani bado nimo wakati nishajiishia zangu
Polepole bibie, bado hawajajua wine ikikaa mda mrefu ndo inazidi kua tamu
Naomba udhuru, leo nitakuwa na shughuli nzito mno
Alafu baadae nina kikao kizito na wewe kule kilingeni, usikose
Naomba udhuru, leo nitakuwa na shughuli nzito mno
Naomba tufanye kesho