wa stendi
JF-Expert Member
- Jul 7, 2016
- 24,685
- 26,779
Kuna mmea fulani hivi (nimeusahau jina)unaotaka karibu na nje kama ua fulani.
Huu mmea ukiugusa kwa mkono eti unasinyaa hapo hapo kama unakauka fulani lakini baada ya mda unarudi tena ile hali yake ya kawaida (ki nyumbani tunauitaga kifabuongo.
Yaani zamani tulipenda sana kuuchezea.
Je, huwa kuna sayansi gani kati binadamu ya kuugusa ndio unazimia.
Huu mmea ukiugusa kwa mkono eti unasinyaa hapo hapo kama unakauka fulani lakini baada ya mda unarudi tena ile hali yake ya kawaida (ki nyumbani tunauitaga kifabuongo.
Yaani zamani tulipenda sana kuuchezea.
Je, huwa kuna sayansi gani kati binadamu ya kuugusa ndio unazimia.