wa stendi
JF-Expert Member
- Jul 7, 2016
- 24,688
- 26,795
Yaani jana nimeenda saloon kurekebisha kidogo nywele na ndevu nikaingia saloon moja wapi mtaani ambayo sijawahi ingia hata hafi nilijutia baada ya kumaliza kunyoa maana ile mashine kwanza ilikuwa inatoa mlio fulani hivi utadhani ni nyuki umemfungia kwenye ganda la kiberiti kitupu.
Pale mezani kulikuwepo na vivhupa chupa vingi vingi pamoja na powder ila hivyo vichupa kuna kimoja alikibeba (kile kichupa ha mafuta ya cherehani)nikaona anabinyia mle mbele kwenye kisu/kiwembe cha mashine na ndipo akaendelea kuninyoa hapo hapo ndio nikasikia harufu ya mafuta taa kabisa,sema sikumuuliza maana niliona ningemtoa kwenye uwepo wa kazi.je!hayaafuta taa kwenye mashine yanasaidia nini mle?
Pasaka njema kwenu
Pale mezani kulikuwepo na vivhupa chupa vingi vingi pamoja na powder ila hivyo vichupa kuna kimoja alikibeba (kile kichupa ha mafuta ya cherehani)nikaona anabinyia mle mbele kwenye kisu/kiwembe cha mashine na ndipo akaendelea kuninyoa hapo hapo ndio nikasikia harufu ya mafuta taa kabisa,sema sikumuuliza maana niliona ningemtoa kwenye uwepo wa kazi.je!hayaafuta taa kwenye mashine yanasaidia nini mle?
Pasaka njema kwenu