wa stendi
JF-Expert Member
- Jul 7, 2016
- 24,688
- 26,796
Yaani ukikaa bar labda bajeti yako ilikuwa unywe bia labda 3 tuu ukalale zako alafu dj au muuza bar aweke hizi nyimbo za wanamuziki wa kongo za (bolingo) kadri nyimbo zinachanganya na wewe mnywaji unajikuta unazi meza tuu hadi bill inapokuja kuletwa unajikuta hela haitoshi hadi inakupelekea kukopa.
Hizi nyimbo za bolingo je, kuna uwekano/siri yoyote ya kufanya mnywaji azidishe kunywa?
Hizi nyimbo za bolingo je, kuna uwekano/siri yoyote ya kufanya mnywaji azidishe kunywa?