Vaida hakuna kitu,,, nilishatumia sana haijasaidiamorgans pomade au vaida.
..ulitaka kuwa mzuri mzuri,sio?Vaida hakuna kitu,,, nilishatumia sana haijasaidia
Ukishakuwa mhenga wewe ni mhenga tu!!Mkuu unaogopa mvi ehe!!?
Mwandendeule ni mafuta au?Mwandendeule hii kitu ni bei kati ya shs 20,000/= na 35,000/= tuu na inachukua takriban week moja na nusu nywele kuwa full black kwa daily usage baada ya hapo ni weekly au kadiri upendavyo ila iko mwake sana
Na mi nilishatumia mkuu hiyo Vaida hamna kitu hadi nimeyaacha,,,Vaida hakuna kitu,,, nilishatumia sana haijasaidia
Mkuu hiyo super vasmo ulishawahi kuitumia..??Super vasmo,,pia ilikuwa nzr kama IPO mpaka sasa madukani
Mkuu hii super vasmol Nimeiangalia saivi kwenye mtandao kwa watu walioitumia wanasema sio nzuri na hamna hata mtu mmoja aliyeisifia kwa hiyo msijaribu kuitumia ,,Super vasmo,,pia ilikuwa nzr kama IPO mpaka sasa madukani
Miaka kama minne iliyopita ndo nilitumia,cjajua hata kama IPO madukan au ilishapigwa marufukuMkuu hiyo super vasmo ulishawahi kuitumia..??
ina shida gani hii super vasmo?. mi nimetumia sana super black. ila toka nianze kutumia supervasmo nimeona ni the best nywele inapendeza sana. na inakaa muda mrefu unapaka kama mafuta. kama in a madhara tuambie tusije pata shida baadae.Mkuu hii super vasmol Nimeiangalia saivi kwenye mtandao kwa watu walioitumia wanasema sio nzuri na hamna hata mtu mmoja aliyeisifia kwa hiyo msijaribu kuitumia ,,
It's wastage of money don't buy it.
Mkuu sijajua kama wanachokisema ni kweli ila kwenye mitandao wanasema kwamba inakemikali inayosababisha hadi nywele kukatika na ngozi ya kichwa kuwasha na inaacha madoa kwenye nguo au kwenye mito ya kitandani,,,ina shida gani hii super vasmo?. mi nimetumia sana super black. ila toka nianze kutumia supervasmo nimeona ni the best nywele inapendeza sana. na inakaa muda mrefu unapaka kama mafuta. kama in a madhara tuambie tusije pata shida baadae.
ina shida gani hii super vasmo?. mi nimetumia sana super black. ila toka nianze kutumia supervasmo nimeona ni the best nywele inapendeza sana. na inakaa muda mrefu unapaka kama mafuta. kama in a madhara tuambie tusije pata shida baadae.
thanks mkuu, ngoja tuache kutumia yasije leta madhara baadae. ila kwa sasa toka nianze kutumia nna karibia mwaka hayajanifanya kitu. ngoja tutafute mengine.