kiboboso
JF-Expert Member
- Sep 17, 2013
- 9,182
- 12,285
Yamelipiwa kodi na nani?Kumbuka yamelipiwa Kodi hayo hadi muda utakapotimia nawe kalipie ya Kwako uweke uache kulalamika
Yamelipiwa kodi na nani?Kumbuka yamelipiwa Kodi hayo hadi muda utakapotimia nawe kalipie ya Kwako uweke uache kulalamika
Msiwe na haraka kujaji. Kumbuka ni haki ya mtu kutoa maoni yake kusema chuki maana yake watu wasiseme?Chuki yako kwa Magufuli haitakusaidia bali utapata ugonjwa wa moyo bure! Relax
Yale mabango pale Dodoma yanasomeka ni ya NMB sasa sijui benki na siasa wapi na wapi!Dodoma kila kona, kuna taasisi hazijalipa watumishi posho lakini zimegharamia mabango ya kupongeza Rais kwa ushindi. Nilidhani barua rasmi ya taasisi kwenda kwa Rais ingetosha kuonesha wapo pamoja na sio hayo mabango
Yale mabango pale Dodoma yanasomeka ni ya NMB sasa sijui benki na siasa wapi na wapi!
Chuki yako kwa JPM isifanye hata mabango yang'olewe wakati wewe hukuyaweka na wala huhusiki na masuala ya mabango barabarani. Huyo Mystery ni kati ya watu ambao hawapendi kusikia kuna mtu hapa duniani anaitwa Magufuli. Tunamfahamu sanaMsiwe na haraka kujaji. Kumbuka ni haki ya mtu kutoa maoni yake kusema chuki maana yake watu wasiseme?
Juzi Warioba alitaja sifa za mtu kuchaguliwa zilivokiukwa badala yake sifa za kipuuzi za spellings zikawekwa. Wagombea wakaenguliwa kwa sifa za hovyo.
Wako waliomtukana Jaji warioba kisa tu waonekane watiifu kwa mfalme. Tunapote!