eddy brown
JF-Expert Member
- Feb 18, 2013
- 414
- 310
Tokea JPM akabidhiwe nchi hatujamuona kwenda nchi za nje na kuomba misaada kama ilivyo kawaida ya mwenye shida,lakini hapo hapo wao ndo wanakuja na kutupia hio misaada hapa na isio na masharti,je nini hao wamekiona kwa raisi wetu na nchi yake?
Sent using Jamii Forums mobile app
Sent using Jamii Forums mobile app